Matokeo uchaguzi Chadema ilikuwa kuikwamisha ACT Wazalendo kujijenga bara kupitia Lisu na kuzuia Lissu kujijenga Zanzibar kupitia ACT wazalendo

Lissu this Lissu that acheni fujo yamepita hayo
Hakuna cha chaliyopita yapite yeye mwenyewe Lisu hukomalia yaliyopita ikiwemo kumkomalia Marehemu Magufuli

Ya kwake pia lazima yakomaliwe hata kama yamepita
 
Zanzibar wapiga kura hafiki hata laki 4, ya nini Lisu ahangaike na kikundi kidogo hivyo badala ya kuhangaika na vitu vya msingi
 
Chawa anapochambua siasa za cdm huku kwenye chama chao watu wanapitishwa kihuni.
 
Uwongooo.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…