Pre GE2025 Matokeo uchaguzi TLS: Ni kivuli cha mchuano mkali kati ya CHADEMA vijana wa GEN Z vs CCM ya wazee wa Establishment

Pre GE2025 Matokeo uchaguzi TLS: Ni kivuli cha mchuano mkali kati ya CHADEMA vijana wa GEN Z vs CCM ya wazee wa Establishment

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
UPDATES:

Kama ilivyotarajiwa na wengi, Adv. Boniface Mwabukusi akiwakilisha young lawyers maarufu kama GEN Z - CHADEMA ameshinda kwa kishindo kikuu na kuwa Rais wa TLS kwa miaka mitatu 2024 - 2026 kwa kuwapiga kipigo cha mbwa mwizi wazee wa mfumo corrupt yaani CCM ESTABLISHMENT

Juhudi kubwa ilifanyika kutaka kuharibu matokeo kwa mbinu mbalimbali lakini, haikuwa rahisi kwa kuwa karibu 95% ya wanachama wote wa TLS waliohudhuria mkutano huu, walikuwa ni GEN Z - CHADEMA..

Hongera Boniface Mwabukusi, hongera Rais mpya wa TLS.!

===================================================

Kwa mtu yeyote anayefuatilia uchaguzi wa TLS mwaka huu 2024 na kama ilivyo miaka yote ya chaguzi ndani ya taasisi hii atagundua na kuona kwa uwazi kabisa kuwa, ni picha na kivuli halisi cha mapambano ya kisiasa kati ya vyama vikubwa viwili CHADEMA na CCM.

CHADEMA inawakilishwa na young lawyers maarufu kama GEN Z hawa ni wengi sana kwa zaidi ya robo tatu ya Mawakili wote. Hawa ndio wanam - chant na kumbeba Wakili Vibrant and aggressive Boniface Mwabukusi

CCM inawakilishwa na mawakili wazee ambao akili na ufahamu wao ulishaharibiwa (polluted ) na CCM kwa miaka mingi.

Wanakula na kutetea mfumo corrupt na kandamizi na uliokwisha kuchoka kwa shibe ya kuvimbiwa na mapato ya dhuluma na damu za watu masikini wa taifa hili la Tanganyika.

GEN Z a.k.a CHADEMA - TLS watawalaza watu na viatu leo?
 
Kwa mtu yeyote anayefuatilia uchaguzi wa TLS mwaka huu 2024 na kama ilivyo miaka yote ya chaguzi ndani ya taasisi hii atagundua na kuona kwa uwazi kabisa kuwa, ni picha na kivuli halisi cha mapambano ya kisiasa kati ya vyama vikubwa viwili CHADEMA na CCM.

CHADEMA inawakilishwa na young lawyers maarufu kama GEN Z hawa ni wengi sana kwa zaidi ya robo tatu ya Mawakili wote. Hawa ndio wanam - chant na kumbeba Wakili Vibrant and aggressive Boniface Mwabukusi

CCM inawakilishwa na mawakili wazee ambao akili na ufahamu wao ulishaharibiwa (polluted ) na CCM kwa miaka mingi.

Wanakula na kutetea mfumo corrupt na kandamizi na uliokwisha kuchoka kwa shibe ya kuvimbiwa na mapato ya dhuluma na damu za watu masikini wa taifa hili la Tanganyika.

GEN Z a.k.a CHADEMA - TLS watawalaza watu na viatu leo?
Huu uzi ungeuweka kabla ya kupiga kura ulikuwa na maana sana ya kubadili upepo
 
Lazima chama dola kongwe kishindwe hapa TLS.

02 August 2024
Dodoma, Tanzania

Saa 5 na dakika 15 usiku hapa mjini Dodoma mshindi wa urais anatangazwa :

RASMI BONIFACE K. Mwabukusi NI RAIS TLS :

Boniface Mwabukusi kura 1,274

Sweetbert Nkuba kura 851
 
Kwa mtu yeyote anayefuatilia uchaguzi wa TLS mwaka huu 2024 na kama ilivyo miaka yote ya chaguzi ndani ya taasisi hii atagundua na kuona kwa uwazi kabisa kuwa, ni picha na kivuli halisi cha mapambano ya kisiasa kati ya vyama vikubwa viwili CHADEMA na CCM.

CHADEMA inawakilishwa na young lawyers maarufu kama GEN Z hawa ni wengi sana kwa zaidi ya robo tatu ya Mawakili wote. Hawa ndio wanam - chant na kumbeba Wakili Vibrant and aggressive Boniface Mwabukusi

CCM inawakilishwa na mawakili wazee ambao akili na ufahamu wao ulishaharibiwa (polluted ) na CCM kwa miaka mingi.

Wanakula na kutetea mfumo corrupt na kandamizi na uliokwisha kuchoka kwa shibe ya kuvimbiwa na mapato ya dhuluma na damu za watu masikini wa taifa hili la Tanganyika.

GEN Z a.k.a CHADEMA - TLS watawalaza watu na viatu leo?
Kama kawaida watangazaji wa matokeo wanasubiri watu waende Kulala, ndipo wamtangaze mtu wao kada wa CCM, kuwa kashinda Kwa goli la mkono, Sweetbert Mkuba😗
 
Matokeo yanatoka saa ngapi Mkuu!?

Kuna vifigisu figisu kidogo dhidi ya Mwabukusi

Kuna delaying tactics ili wadhulumu ushindi wa jamaa, lakini wamekabwa kila kona..

Ni ujinga na upuuzi uleule wa ki - CCM ulijaribu kuingia kwenye uchaguzi wa TLS

Baadhi ya ballots papers zilizompigia Mwabukusi zimeokotwa zimetupwa bila kuhesabiwa..

Pamoja nayo, Adv. Boniface Mwabukusi amewatandika vibaya opponents wake..!!
 
Kama kawaida watangazaji wa matokeo wanasubiri watu waende Kulala, ndipo wamtangaze mtu wao kada wa CCM, kuwa kashinda Kwa goli la mkono, Sweetbert Mkuba😗
It was almost impossible kufanya uhuni wowote!!!

Walikuwa wamekabwa kila sehemu, kila kona..

Na kwa matokeo haya, ni wazi kuwa CHADEMA ni jogoo na CCM is a bitch dog..!

Kwa picha nzima ya uchaguzi huu, haina shaka yoyote kuwa huu ulikuwa ni mchuano wa kibabe kati ya CHADEMA vs CCM..!

Kwa matokeoa haya, CHADEMA wameipiga CCM kichapo cha mbwa mwizi!!
 
Kuna mawakili hapo wazazi wao walipigwa chini na serikali ya ccm eti vyeti feki ,leo wachague urudishaji maendeleo ccm, kweli
 
CCM inawakilishwa na mawakili wazee ambao akili na ufahamu wao ulishaharibiwa (polluted ) na CCM kwa miaka mingi.
Hawa wako huko kwa sababu ya Kunyemelea teuzi, safari za semina na vikao. Wengine tangu waende huko hawajapata walichofata mpaka wanastafu sasa.

Wizi wizi na ulaghai kwa sana.

Watu walionyoka wanajitegemea( private lawyers)
 
It was almost impossible kufanya uhuni wowote!!!

Walikuwa wamekabwa kila sehemu, kila kona..

Na kwa matokeo haya, ni wazi kuwa CHADEMA ni jogoo na CCM is a bitch dog..!

Kwa picha nzima ya uchaguzi huu, haina shaka yoyote kuwa huu ulikuwa ni mchuano wa kibabe kati ya CHADEMA vs CCM..!

Kwa matokeoa haya, CHADEMA wameipiga CCM kichapo cha mbwa mwizi!!
Kwenye mazingira yoyote yenye atleast a littler fairness ccm hafui Dafu.
 
Back
Top Bottom