Pre GE2025 Matokeo uchaguzi TLS: Ni kivuli cha mchuano mkali kati ya CHADEMA vijana wa GEN Z vs CCM ya wazee wa Establishment

Pre GE2025 Matokeo uchaguzi TLS: Ni kivuli cha mchuano mkali kati ya CHADEMA vijana wa GEN Z vs CCM ya wazee wa Establishment

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa mtu kama Dr Lugelemeza Nshala akahongwe na box jeupe Kifutu
 
Tanzania itachelewa sana kupata maendeleo.

Kila kitu inawekwa siasa.
 
Mtoto wa Mama na kundi lake waangukia pua. Yani wangepepesa macho kidogo tu CCM ingeshinda. Idadai ilikuwa pungufu ya 3000 lakini bado walitaka kuchakachua.
CCM walitaka kuongeza kura za Zanzibar leo.
 
UPDATES:

Kama ilivyotarajiwa na wengi, Adv. Boniface Mwabukusi akiwakilisha young lawyers maarufu kama GEN Z - CHADEMA ameshinda kwa kishindo kikuu na kuwa Rais wa TLS kwa miaka mitatu 2024 - 2026 kwa kuwapiga kipigo cha mbwa mwizi wazee wa mfumo corrupt yaani CCM ESTABLISHMENT

Juhudi kubwa ilifanyika kutaka kuharibu matokeo kwa mbinu mbalimbali lakini, haikuwa rahisi kwa kuwa karibu 95% ya wanachama wote wa TLS waliohudhuria mkutano huu, walikuwa ni GEN Z - CHADEMA..

Hongera Boniface Mwabukusi, hongera Rais mpya wa TLS.!

===================================================

Kwa mtu yeyote anayefuatilia uchaguzi wa TLS mwaka huu 2024 na kama ilivyo miaka yote ya chaguzi ndani ya taasisi hii atagundua na kuona kwa uwazi kabisa kuwa, ni picha na kivuli halisi cha mapambano ya kisiasa kati ya vyama vikubwa viwili CHADEMA na CCM.

CHADEMA inawakilishwa na young lawyers maarufu kama GEN Z hawa ni wengi sana kwa zaidi ya robo tatu ya Mawakili wote. Hawa ndio wanam - chant na kumbeba Wakili Vibrant and aggressive Boniface Mwabukusi

CCM inawakilishwa na mawakili wazee ambao akili na ufahamu wao ulishaharibiwa (polluted ) na CCM kwa miaka mingi.

Wanakula na kutetea mfumo corrupt na kandamizi na uliokwisha kuchoka kwa shibe ya kuvimbiwa na mapato ya dhuluma na damu za watu masikini wa taifa hili la Tanganyika.

GEN Z a.k.a CHADEMA - TLS watawalaza watu na viatu leo?
Hongera CDM!
 
UPDATES:

Kama ilivyotarajiwa na wengi, Adv. Boniface Mwabukusi akiwakilisha young lawyers maarufu kama GEN Z - CHADEMA ameshinda kwa kishindo kikuu na kuwa Rais wa TLS kwa miaka mitatu 2024 - 2026 kwa kuwapiga kipigo cha mbwa mwizi wazee wa mfumo corrupt yaani CCM ESTABLISHMENT

Juhudi kubwa ilifanyika kutaka kuharibu matokeo kwa mbinu mbalimbali lakini, haikuwa rahisi kwa kuwa karibu 95% ya wanachama wote wa TLS waliohudhuria mkutano huu, walikuwa ni GEN Z - CHADEMA..

Hongera Boniface Mwabukusi, hongera Rais mpya wa TLS.!

===================================================

Kwa mtu yeyote anayefuatilia uchaguzi wa TLS mwaka huu 2024 na kama ilivyo miaka yote ya chaguzi ndani ya taasisi hii atagundua na kuona kwa uwazi kabisa kuwa, ni picha na kivuli halisi cha mapambano ya kisiasa kati ya vyama vikubwa viwili CHADEMA na CCM.

CHADEMA inawakilishwa na young lawyers maarufu kama GEN Z hawa ni wengi sana kwa zaidi ya robo tatu ya Mawakili wote. Hawa ndio wanam - chant na kumbeba Wakili Vibrant and aggressive Boniface Mwabukusi

CCM inawakilishwa na mawakili wazee ambao akili na ufahamu wao ulishaharibiwa (polluted ) na CCM kwa miaka mingi.

Wanakula na kutetea mfumo corrupt na kandamizi na uliokwisha kuchoka kwa shibe ya kuvimbiwa na mapato ya dhuluma na damu za watu masikini wa taifa hili la Tanganyika.

GEN Z a.k.a CHADEMA - TLS watawalaza watu na viatu leo?


Ukisema chadema ni GEN z unashusha sifa za GEN z, GEN z ni positive movement!
 
Kwenye mazingira yoyote yenye atleast a littler fairness ccm hafui Dafu.
ccm ni mshindani anayelindwa na mapolisi na wasimamizi wa chaguzi!
Lakini vinadumu basi?? Hao mapolisi, walimu na wakurugenzi ipo siku watachoka!
 
Back
Top Bottom