Matokeo wanayopata Yanga kwa sasa ni upepo tu

Mie ni Simba ila naona ubingwa unaenda kama sio Azam basi ni Yanga. Timu yangu haina consistency, kocha bado hayupo serious na kutafuta ubingwa hata sub zake zinadhihirisha hivyo.

Masoud alikuwa na consistency ndio maana alichukua ubingwa.
nini maana ya "consistency "
 
zahera ni moja wale waganga matapeli walio kuwa watuma msg kwa kujisia kwamba anatoka Kongo

ila ngoja benchi lianze kukosa nguvu atahama huu si msimu wa maembe
Mechi za ugenini za yanga vipi kwani ameshaanza kwenda mikoani?
 
sio upepo ni juhudi na utaalamu qa mwinyi zahera na wachezaji
 
Ni lazima tuwe wa kweli ,tuache ushabiki ushindi wa Yanga uanashangaza !kimsingi nawasifu wachezaji na kocha ...hata kama ni bahati ,basi Mungu yupo upande wao!
 
upepo kwa yanga tu kwann isiwe biashara fc au lipuli au prison?
 
kakolanya nje,yondani nje,shishimbi nje

sasa kama simba wanaweza waweke mk 14 nje,boko nje na okwi nje,utacheka uzimie.
Simba in vikosi viwili kwanza hakuna mchezaji wa Yanga kwa uwezo wake anaweza pata namba simba
 
Mkuu sijakimbia jukwaa, NIPO. Nitakapomaliza haya majukumu yanayoniweka pembeni, nitarejea kwa miguu yote miwili kama mwanzo, tofauti na sasa ambapo nipo mguu mmoja ndani, mwingine nje.
Hahahaha mtani umekimbilia eneo korofi mapema mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…