Matokeo wanayopata Yanga kwa sasa ni upepo tu

Matokeo wanayopata Yanga kwa sasa ni upepo tu

Wadau wengi wa soka wamekuwa kwakishangaa timu ya Yanga kupata matokeo mazuri ligi kuu huku bado haijafungwa mchezo wowote licha ya kukweli kwamba wanna kikiosi kibovu Sana
Kwenye mpira tunaita upepo mzuri huwa ni kipindi Cha mpito yaani Kila kitu unachofanya ni sahihi yaani hata msipofunga wapinzani watajifunga.
Naona mashabiki was Yanga wanampa sifa kibao kocha Mwinyi Zahera ila mtakuja kumkataa mbeleni huko hili BOOM likiisha
Kila mtu atashinda kwa uwezo wake sio upepo tena
View attachment 946088
Wanafukuza mwizi kimya kimya
 
Wewe ni kama mimi, Yanga wanaonekana dhahiri wanausaka ubingwa. Simba wanafikiri ligi haijaanza bado. Subiri waachwe point kama saba hivi uone watakavyoanza kupaniki
Yanga waliisha shinda kwa tofauti ya magoli tu, pointi zilikuwa sawa na Simba ni mwaka juzi tu.
Simba wanacheza kwa matumaini tu hawana malengo na njaa ya ushindi.
Yanga wanatuzidi pointi 5 Azam pointi 4, unawakamataje hapo ?
Azam pale mbele pana washambuliaji mahiri sana na Chirwa kaongezwa, unafikira atafungwa na timu gani kirahisi rahisi ?
Simba wana matatizo sana kwenye safu ya ushambuliaji, Bocco ni kama kachoka.
Kagere na Okwi mechi nyingine wanasumbuliwa na Umri,
Vijana akina Salamba ni wavivu wa mazoezi.
Kocha ndio huyo hana msaidizi wa kumshauri kufanya Sub haraka, pale mchezaji anapokuwa nje ya mchezo.

Hamna kitu hapo, ubingwa tuusahau tu mwaka huu.
 
Yanga waliisha shinda kwa tofauti ya magoli tu, pointi zilikuwa sawa na Simba ni mwaka juzi tu.
Simba wanacheza kwa matumaini tu hawana malengo na njaa ya ushindi.
Yanga wanatuzidi pointi 5 Azam pointi 4, unawakamataje hapo ?
Azam pale mbele pana washambuliaji mahiri sana na Chirwa kaongezwa, unafikira atafungwa na timu gani kirahisi rahisi ?
Simba wana matatizo sana kwenye safu ya ushambuliaji, Bocco ni kama kachoka.
Kagere na Okwi mechi nyingine wanasumbuliwa na Umri,
Vijana akina Salamba ni wavivu wa mazoezi.
Kocha ndio huyo hana msaidizi wa kumshauri kufanya Sub haraka, pale mchezaji anapokuwa nje ya mchezo.

Hamna kitu hapo, ubingwa tuusahau tu mwaka huu.
Mkuu ume overreact ndo Kwanza mechi 13 Kati ya 38 Sasa gep la points 5 unaogopa nin? Ligi bado mbichi Sana na ni makosa kuanza kujihusisha Yanga na ubingwa
 
Mkuu ume overreact ndo Kwanza mechi 13 Kati ya 38 Sasa gep la points 5 unaogopa nin? Ligi bado mbichi Sana na ni makosa kuanza kujihusisha Yanga na ubingwa
Kaka sio, ndondondo sio chururu,
Wahenga kila siku wanatuambia, biashara asubuhi.
Kila inavyoendelea ndivyo ligi inavyozidi kuwa ngumu.
 
Yanga huwa wanachekesha sana, wakishinda kidogo sifa kibao, subirini vipigo vianze kuanzia mechi ijayo.......Mnyama anakuja kuchukua nafasi yake
 
Wadau wengi wa soka wamekuwa kwakishangaa timu ya Yanga kupata matokeo mazuri ligi kuu huku bado haijafungwa mchezo wowote licha ya kukweli kwamba wanna kikiosi kibovu Sana
Kwenye mpira tunaita upepo mzuri huwa ni kipindi Cha mpito yaani Kila kitu unachofanya ni sahihi yaani hata msipofunga wapinzani watajifunga.
Naona mashabiki was Yanga wanampa sifa kibao kocha Mwinyi Zahera ila mtakuja kumkataa mbeleni huko hili BOOM likiisha
Kila mtu atashinda kwa uwezo wake sio upepo tena
View attachment 946088

Inawezekana lakini Yanga kwa sasa inajenga timu..imepungukiwa kwenye wachezaji kama wanne hivi muhimu, wakiwapata hao watakuwa balaa...upo mwaka yule kocha 'mbabe' nadhani alikuwa anafanya kazi Tegry alikuwa ni golikipa mwanzoni lakini baadaye akaja kuwwa kocha wa Yanga...alikuwa ni mhamasishaji tu...nadhani sasa ni marehemu..basi alikuwa kocha wa kikosi cha Yanga kilichokuwa na matatizo mengi kifedha...ilikuwa mwishoni au katikati ya miaka ya 80.. pamoja na matatizo hayo ya fedha Yanga ilichukua ubingwa huku ikiwa na mechi tatu hivi mkononi...Yaani timu ilikuwa haina fedha kabisa lakini waliutwaa ubingwa...
 
Yanga wana Fighting Spirit ya hali ya juu sana.
Wakiendelea nayo ubingwa ni lazima.
Siipendi Yanga lakini naipongeza kwa kiwango kizuri walichokionesha hadi sasa.
hahahaha,
acheni kuunajisi mpira yaani ombaomba achukue ubingwa? Azam na simba wakiwa wapi?
 
Unazungum
Wadau wengi wa soka wamekuwa kwakishangaa timu ya Yanga kupata matokeo mazuri ligi kuu huku bado haijafungwa mchezo wowote licha ya kukweli kwamba wanna kikiosi kibovu Sana
Kwenye mpira tunaita upepo mzuri huwa ni kipindi Cha mpito yaani Kila kitu unachofanya ni sahihi yaani hata msipofunga wapinzani watajifunga.
Naona mashabiki was Yanga wanampa sifa kibao kocha Mwinyi Zahera ila mtakuja kumkataa mbeleni huko hili BOOM likiisha
Kila mtu atashinda kwa uwezo wake sio upepo tena
View attachment 946088
Unazungumzia hoja sahihi, lakini kwa vigezo visivyo sahihi. Timu inayocheza mechi 12 na kutopoteza hata moja, ikitoka sare mbili tu kati ya hizo, nyingi ya hizo ikitoka bila ya kuruhusu bao, haiwezekani kuwa ni kwa bahati tu peke yake, au upepo kama unavyosema. Kinachokufanya uhisi hivyo, inavyoelekea, ni imani yako kwa usajili wa timu ya Simba (ingawa hukuitaja, lakini lugha uliyotumia haiashirii utani wa Yanga na Azam) ukizingatia majina makubwa ya wachezaji wake. Hilo limekufanya usiweze kuhukumu uwezo wa timu kwa mujibu wa matokeo uwanjani yanayofafanuliwa na takwimu zake na badala yake ukahukumu kwa mujibu wa matarajio yako.
Kwenye matarajio ungeweza kuwa sahihi kama ungeyaelekeza zaidi kwenye udhaifu wa Yanga kiuchumi kuliko uwezo wake kiwanjani ikilinganishwa na Simba (au hata Azam). Hilo la udhaifu wa kiuchumi siyo siri, hata Mwalimu wa Yanga mwenyewe anakiri kwamba: (1) hatafanya usajili kwa sababu ana wachezaji 10 waliopo hawajakamilishiwa malipo yao (2) Hana malengo ya ubingwa kwa sababu hakuna uwezo wa kiuchumi unaoendana na malengo ya ubingwa (3) Tofauti ya sasa ya alama tano baina ya timu yake na Simba si chochote ikilinganishwa na idadi ya mechi zilizosalia.
Kwa hivyo kuhusu uendelevu wa matokeo mazuri kwa Yanga hutofautiani na kocha wa Yanga mwenyewe. Mnachotofautiana, na ndiyo unachotofautiana na mimi pia, ni kwamba matokeo yanayoendelea sasa si ya bahati mbaya au upepo kama usemavyo. Inawezekana Yanga haina wachezaji wenye uzoefu na uwezo mkubwa, haichezi mpira wa kuburudisha, wenye ufundi wa kuonekana. Lakini mpira wa leo unachezwa zaidi kwa mikakati na malengo na kuamuliwa zaidi kwa matokeo. Na kwa hilo, Yanga has overachieved so far, judging from the quality of players they have, their motivation level, leadership stability and the resources being continuously invested right from registration compared to the rest of the ‘heavy weights’ in the League.
 
Wadau wengi wa soka wamekuwa kwakishangaa timu ya Yanga kupata matokeo mazuri ligi kuu huku bado haijafungwa mchezo wowote licha ya kukweli kwamba wanna kikiosi kibovu Sana
Kwenye mpira tunaita upepo mzuri huwa ni kipindi Cha mpito yaani Kila kitu unachofanya ni sahihi yaani hata msipofunga wapinzani watajifunga.
Naona mashabiki was Yanga wanampa sifa kibao kocha Mwinyi Zahera ila mtakuja kumkataa mbeleni huko hili BOOM likiisha
Kila mtu atashinda kwa uwezo wake sio upepo tena
View attachment 946088
Unajidanganya kusema upepo wakati Yanga kwake ni mkakati. We endelea kuishi kwa matumaini
 
K2ani Simba nao si wamo kwenye huu upepo unaopita ingawa wao umewashinda tayari? Ina maana baada ya upepo huu kupita, wao Simba au timu zingine zitatakiwa kurudia upya mechi zao?
 
Ni aibu timing mbovu Kama Yanga kuongoza ligi, hi ni kielelezo kwamba ligi ya Tanzania Haina kiwango
 
Leo Tena wamebahatisha 3 na jkt Tanzania magoli ya kujigongagonga tu
Utakufa kwa presha, kila siku unajidanganya kabahatisha kesho hashindi

Ikifika kesho, anashinda.... Unajidanganya tena kwamba kesho kutwa hashindi

Siku zinaenda, mechi zinapungua, points kwa Yanga zinaongezeka

Kwa taarifa yako Yanga yupo mbele ya mikia kwa points 8
 
Utakufa kwa presha, kila siku unajidanganya kabahatisha kesho hashindi

Ikifika kesho, anashinda.... Unajidanganya tena kwamba kesho kutwa hashindi

Siku zinaenda, mechi zinapungua, points kwa Yanga zinaongezeka

Kwa taarifa yako Yanga yupo mbele ya mikia kwa points 8
Mkuu Simba unahiusisha vipi na huu uzi , unamaana wewe huoni ubovu was Yanga? Timu ata kupiga pasi 6 zote zifike haiwezi.
Narudia Tena huu upepo utakata muda si mrefu na utanielewa namaanisha nini
 
Back
Top Bottom