Achana na hii hesabu 5 zilizobaki kumalizia round ya kwanzaUlisema unatuhesabia match tano,ya jana ya ngapi?
Mie ninachoona hapo umeingiza mapenzi kwenye uzi wako. Ungekuwa huna timu hapo sawa ila kwa kuwa we ni Mikia sina budi kusema hivyo.Mkuu kwani nimeongea uongo? We subiri upepo ukate ukikimbia ntakutafuta majukwaa yote na tochi
Yanga wanapata wasichostahili kwa sasa
Wewe ndio hajar eeeeeh
Walichezesha kikosi B eti ....hawana haya hawa mazamwamwaMatch ya Lipuli mlichezesha kikosi kipi Mkuu?
Kwani Mimi nimesema ni Simba? Nimetoa uchambuzi tu wakitaalamu najua hata moyoni kwako unajua Yanga ni timi dhaifu sema inaenda kimungu munguMie ninachoona hapo umeingiza mapenzi kwenye uzi wako. Ungekuwa huna timu hapo sawa ila kwa kuwa we ni Mikia sina budi kusema hivyo.
Hahahahahaha umerogwa weweAchana na hii hesabu 5 zilizobaki kumalizia round ya kwanza
Yanga vs Biashara utd
Ruvu shooting vs Yanga
Mbeya city vs Yanga
Africa Lyon vs Yanga
Azam fc vs Yanga
Hapo katika points 15 mkijitaidi Sana mnapata 7
Shida sio kupata namba simba mechi na lipuli mliweka kikosi gani ...kujisifu kwiingiii uwanjani zeroAlichopanga mwalimu mkuu ebu niambie no mchezaji gani wa Yanga anaweza pata namba simba
We kama nani bhana, mbona unalialia na neno hilohilo… kainue mkia huko watu wapate kuliona tunduSoon utaelewa ninachosema
nasubiriKila mtu na bahat yake
Yule mkongo mtamkataa muda si mrefu
yanga ana kikosi kimoja tena cha kuungaunga.Simba in vikosi viwili kwanza hakuna mchezaji wa Yanga kwa uwezo wake anaweza pata namba simba
tunahesabu kilicho mkononi,hicho unachokitarajia usipokipata?Umehesabu viporo au points peke yake?
Fisi alitembea na mwanakijiji toka porini hadi kijijini akitaraji mkono utaanguka...na wewe subiri.Mkuu muda utaongea jus wait
Ndio nani huyo?Wewe ndio hajar eeeeeh