Ndio timu yako ya moyoni hiyo kutokana na kauli zako kwenye ule uzi wa game ya Yanga vs Prison.Kwani Mimi nimesema ni Simba? Nimetoa uchambuzi tu wakitaalamu najua hata moyoni kwako unajua Yanga ni timi dhaifu sema inaenda kimungu mungu
Mmmh[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Ndio nani tena huyo member wa humu ama?
Ooh. Basi sawa.Kusema Simba wanatimu nzuri kuliko Yanga ndo nimekuwa simba? Hisia zako tu mkuu
We jamaa dishi limeyumba ... Eti 7... Kwa hiyo zile mechi zako tano umefuta ..tunaanza na biashara si ndio.... Utakuwa una matatizo ya kumbukumbu tutaendelea kukukumbusha sawaAchana na hii hesabu 5 zilizobaki kumalizia round ya kwanza
Yanga vs Biashara utd
Ruvu shooting vs Yanga
Mbeya city vs Yanga
Africa Lyon vs Yanga
Azam fc vs Yanga
Hapo katika points 15 mkijitaidi Sana mnapata 7
Mbona maneno mengi ngoma inaanzia hapo na biashara mpaka Azam tuone mtakusanya ngapi? Nimesema zikifika 7 mshukuru munguWe jamaa dishi limeyumba ... Eti 7... Kwa hiyo zile mechi zako tano umefuta ..tunaanza na biashara si ndio.... Utakuwa una matatizo ya kumbukumbu tutaendelea kukukumbusha sawa
3 tumeshazipata zimebaki 4Mbona maneno mengi ngoma inaanzia hapo na biashara mpaka Azam tuone mtakusanya ngapi? Nimesema zikifika 7 mshukuru mungu
Hahahaaaa we jamaa ni kichaa kama jiwe na wafuas wake akina haraka harakaMbona maneno mengi ngoma inaanzia hapo na biashara mpaka Azam tuone mtakusanya ngapi? Nimesema zikifika 7 mshukuru mungu
Achana na hii hesabu 5 zilizobaki kumalizia round ya kwanza
Yanga vs Biashara utd
Ruvu shooting vs Yanga
Mbeya city vs Yanga
Africa Lyon vs Yanga
Azam fc vs Yanga
Hapo katika points 15 mkijitaidi Sana mnapata 7
Mna ongeza visingizio vingineYanga wamebebwa sana leo,penalty ya wazi kabisa na upendeo wa wazi
Yaani lile goli la 3 la Makambo ni mizengwe tu ya refa ila ni wazi kabisa YOUNG AFRICANS FOOTBALL CLUB "The Citizen Team" ilipaswa itoke na ushindi Wa 3-1Yanga wamebebwa sana leo,penalty ya wazi kabisa na upendeo wa wazi