Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Kwa waCBA nchi nzima. Mi ndio nilikuwa TO mwaka 2008 nikitokea Galanos.Kusema ulipata 12 ina maana ni division 2 ya 12 sio
Ndo hii mkuuKwa waCBA nchi nzima. Mi ndio nilikuwa TO mwaka 2008 nikitokea Galanos.
Mwaka 2007 alikuwa rafiki yangu na cube mate wangu namba 18 pale Bweni la Chai Galanos Donasia Chebeha Mahindi.
Saizi mtu asipopata one watu wanamshangaa Mtaa nzima.Zamani MTU unapata one watu wanakushangaa mtaa mzima.
Nina rafiki yangu alikua mafinga science waliombwa sana wabaki jamaa akachomoa alisoma PGM kilichofuata ni division 0 π± πππ saivi yupo anachimba almasi2013 pia matokeo yalikuwa mabaya mno pia..huu ulikuwa mwaka mbaya mno..matokeo yametoka tupo jeshini, watu ilikuwa ni kilio tuu.
Miaka hii waliofeli form four ndo walimuZamani MTU unapata one watu wanakushangaa mtaa mzima.