Tuletee takwimu lakini yote unayosema ni mema.Kwa matokeo ambayo tayari yaliyokwishatolewa Chadema inaongoza kwa mbali hasa nafasi ya urais na ubunge; Jk afikishi hata nusu ya kura ya Dr Slaa. Marmo hali yake ni mbaya. Chadema inaweza kupata viti vya madiwani kati ya 15 hadi 20,
Kesho nitajitahidi kuleta takwimu.
uhuru wa kweli!!!!kama nipo ndotoni!! Siamini tz inapata uhuru!!
Its too early to celebrate because vijijini bado majibu hayajaanza kuja na huko ndiko kwenye umaskini na mtaji wa ccm ni maskiniKama nipo ndotoni!! Siamini TZ inapata uhuru!!
Its too early to celebrate because vijijini bado majibu hayajaanza kuja na huko ndiko kwenye umaskini na mtaji wa ccm ni maskini
i pray JK to lose teh election
Msiogope jamani,hii kazi Mungu alishaikamilisha toka asubuhi!CCM chali.ACID, in fact nakubaliana na wewe,,.. tatizo langu na mimi ni vijijini,,.... mostly ya matokeo yaliyotoka ni ya mjini....... ila nazidi kuomba mambo yaende vizuri
Kesho nitajitahidi kuleta takwimu.