Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 300
Kwa matokeo ambayo tayari yaliyokwishatolewa Chadema inaongoza kwa mbali hasa nafasi ya urais na ubunge; Jk afikishi hata nusu ya kura ya Dr Slaa. Marmo hali yake ni mbaya. Chadema inaweza kupata viti vya madiwani kati ya 15 hadi 20,
Kesho nitajitahidi kuleta takwimu.
Kesho nitajitahidi kuleta takwimu.