josiah2008
Member
- May 22, 2010
- 51
- 23
Shua!Haraka haraka mzee. Usisahau na ya Dr
WOS - may God clear yr path! Tunakuombea
kumbe redet na synovate waligeuza kura zetu wakawapa mafisadi...ona wanavyo aibika sasa...walikazana kujilisha upepo sasa wanatua aibu...
CHADEMA CHADEMA , MY CHADEMA.....MAFISADI ANZENI KUKIMBIA NCHI
WOS - may God clear yr path! Tunakuombea
I am shading tears already.askofu karibu jack danny hapa....tulijua GS atashinda tu....waje waongee sasa
Kama ni kweli hongera sana Regina na Hongereni sana wachaguaji wazuri wa Kilombero.Habari za uhakika ni kwamba chadema wamechukua kilombero. Hongera mh. Regia Mtema.
Change is real!