JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Bora CCM uchaguzi unafanyika licha ya changamoto lakini bado zinaweza kuelezwa kama chaguzi bora, vyama vingine vyote isipokuwa CCM uchaguzi wa mwenyekiti ni funika kombeKwa hiyo kuna sehemu rushwa haikutumika? CCM Bwana, mnatufanya watoto eeh? Kama Mbarali na Ileje hayajafutwa basi huko yalikofutwa labda rushwa ilikuwa inagawiwa barabarani.
Kama wao wenyewe wana ibiana je nyie wa pembeni itakuwaje?Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka leo Jumanne Septemba 27, 2022 amesema chama hicho kimefuta matokeo ya chaguzi tano za UVCCM pamoja na kusimamisha chaguzi zaidi ya tatu za Jumuiya ya Wanawake, kutokana na ukiukwaji wa maadili, rushwa na upangaji safu za uongozi.
Chanzo: MwanaHalisi
Kwani mwenyekiti wa ccm anagombeaga na Nani !!!!Bora CCM uchaguzi unafanyika licha ya changamoto lakini bado zinaweza kuelezwa kama chaguzi bora, vyama vingine vyote isipokuwa CCM uchaguzi wa mwenyekiti ni funika kombe
GoodKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka leo Jumanne Septemba 27, 2022 amesema chama hicho kimefuta matokeo ya chaguzi tano za UVCCM pamoja na kusimamisha chaguzi zaidi ya tatu za Jumuiya ya Wanawake, kutokana na ukiukwaji wa maadili, rushwa na upangaji safu za uongozi.
Chanzo: MwanaHalisi
[emoji38][emoji38][emoji38]Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka leo Jumanne Septemba 27, 2022 amesema chama hicho kimefuta matokeo ya chaguzi tano za UVCCM pamoja na kusimamisha chaguzi zaidi ya tatu za Jumuiya ya Wanawake, kutokana na ukiukwaji wa maadili, rushwa na upangaji safu za uongozi.
Chanzo: MwanaHalisi
Hata haishangazi maana ni kawaida yaoKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka leo Jumanne Septemba 27, 2022 amesema chama hicho kimefuta matokeo ya chaguzi tano za UVCCM pamoja na kusimamisha chaguzi zaidi ya tatu za Jumuiya ya Wanawake, kutokana na ukiukwaji wa maadili, rushwa na upangaji safu za uongozi.
Chanzo: MwanaHalisi
Chema chichiemu yote😂😂UVCCM na rushwa ni kama Uji na Mgonjwa
Madiwani wa CCM Kilimanjaro wanakidharirisha sana chama!Chema chichiemu yote😂😂