Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Ukimya huu una maanisha nini??
Hakuna hata ushauri au mnasubiri SIMBA, YANGA na AZAM tu?
Hakuna hata ushauri au mnasubiri SIMBA, YANGA na AZAM tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hojaBora watolewe mapema waje kucheza ligi ya NBC, Yale mashindano ni gharama Sana. Unaweza kupambana kushiriki mwisho wa siku yakakukuta ya Biashara United.
Team nyingi miaka ya hv karibu ni zinaamua kucheza uko uko mf hai Vitaloo Jana wakiwa chamazi(Uwanja wao wa nyumbani) wamepiga pesa ya kutosha maana kama kutolewa kuko pale pale.
Watabaki hapa hapa mpaka marudiano so zile pesa za madafu watatumia hvyo hvyo.
Team mbili kutoka Zanzibar nazo zimeamua kumalizana na wapinzani wao huko huko.
Pesa kutoka CAF zinakuja kwa kuchelewa Sana!!
Coastal hamna timu pale msimu huu. Na wasipochukua hatua mapema, watashuka daraja.
Lakini waliwatoa kamasi mbumbumbu kwenye ngao ya jamiiCoastal hamna timu pale msimu huu. Na wasipochukua hatua mapema, watashuka daraja.
Yule kipa wao ni pazia la lodge,sijui yule Matampi kaenda wapi.Coastal walipewa timu dhaifu sana, yaani wangecheza kama wanavyozikamia Simba na Yanga wangeshinda nyumbani na ugenini. Walicheza kama wako ndondo vile.
Kila mtu na kibonde wakeLakini waliwatoa kamasi mbumbumbu kwenye ngao ya jamii
Hawana beki wala kipa, magoli mawili uzembe wa beki na goli moja la kipa ovyo sanaCoastal walipewa timu dhaifu sana, yaani wangecheza kama wanavyozikamia Simba na Yanga wangeshinda nyumbani na ugenini. Walicheza kama wako ndondo vile.