Matokeo ya droo ya EUROPA League hatua ya makundi. Pogba awa Mchezaji bora

Matokeo ya droo ya EUROPA League hatua ya makundi. Pogba awa Mchezaji bora

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
2,046
Reaction score
3,971
Droo ya EUROPA league imechezeshwa leo mjini Monaco. Katika droo hii haya ndio makundi ya michuano hiyo msimu wa 2017/18
c0acda74f2169d1ce692111730def3a1.jpg


Vilevile mchezaji wa Manchester United Paul Pogba amekuwa mchezaji bora wa michuano hiyo katika msimu uliopita
23bd3fbe7546c5336b25523145892e42.jpg
 
Huyo mzungu kama anajilazimisha kutabasamu, sijui alitaka apewe mzungu mwenzake??
 
Safi mido kisheti, mwakani tunamnyang'anya Ronaldo tuzo yake ya jana.
 
Back
Top Bottom