matokeo ya form 4 kutangazwa leo saa 10 jioni na naibu wazili wizarani

Kwan mwandish aliepost hii network haipandi mbona kama yuko uingereza halaf anatumia sim card ya tigo?
 
Jf imevamiwa siku hizi,
"great thinker philosophy" naona inakufa,

ndugu hii ni post ya mwaka jana, sasa nawashangaa nyie mnaomponda mtoa uzi,
my take "angalia kwanza tar ya thread kuwa posted kabda ya kupost comment"
 

haya matokea tokea yanatoka lini jamani. tokea tar 29 hadi leo tarehe 16th Feb hamna cha majibu wala nii. hv hawa necta wana akili timamu kweli au?
 
Hawafikirii maslahi ya wote wengne kupata raha ad matokeo yaje.wenyewe wanafurah na watoto wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…