mkuu kusahihisha wameshamaliza tayariYani bado hawajaanza hata kusahisha we unaulizia tokeo....
Hapo ni mpaka mwezi wa 8 mwishoni au wa 9 mwanzoni..
Yani bado hawajaanza hata kusahisha we unaulizia tokeo....
Hapo ni mpaka mwezi wa 8 mwishoni au wa 9 mwanzoni..
mtaanza kuharibu jukwaa sasa kwa kuuliza matokeo
Hivi jeshini mtaenda lini?
Hivi kumbe matokeo hayajatoka
wadau matokeo yatatoka mwezi gani mwaka huu?