Matokeo ya form two walomaliza mwaka jana mwezi December


shaka ondoa matokeo yatatoka lakini hakuna atakaye baki coz mpango mkakati wa serikali si kumbakisha mtu form two! Kifupi wote mtavushwa .
 
shaka ondoa matokeo yatatoka lakini hakuna atakaye baki coz mpango mkakati wa serikali si kumbakisha mtu form two! Kifupi wote mtavushwa .

ahsante mkuu kwa Majibu yenye faraja
 
msitushke masikio nyie, mmesoma mwaka gani nyie mnaosema matokeo k.2 ni february, naomba muwaulize wadogo zenu coz mnaaibisha. Matokeo huwa yanatoka wk moja baada ya kufungua shule, mwambie aende shule then baada ya wk moja yatatoka.

ata me nawashangaa alafu wanajifanya wajuzi eti matokeo yanatoka February sijui walisomea nchi gani hawa watu

ahsante mkuu kwa Majibu mazuri
 
Mtoto aende shule matokeo yatamkuta ni utaratibu wa miaka yote. akifaulu au akifeli anaendelea kusoma . hivyo apelekwe shule
 
kawambwa anajua lini yatatoka we nenda shule umefauru kwa jina la IPTL na ESCROW maabara kipolo kafulila amen.
 

ni sheria ipi hiyo?
 
ni sheria ipi hiyo?

Kadri ya taratibu za nchi yetu(cjui kwa nchi zingine) kauli ya raisi wa nchi ni sheria akihitaji jambo lifanyike hatuna budi kulifanya, hivyo kama unakmbukmbu ziara ya raisi mkoani Tanga 2014 aliamuru kurudi shule kwa yeyote alieacha mara baada ya kuferi k.2 nchi nzima na viongoz mbalimbali wakielimu kupokea barua rasmi inayo wataka kutokufukuza shule kwa mwanafunz yyte badala yake kumrudsha kidato kama amefeli na kumsubiri ajifungue na kurudi shule kama tatzo ni mimba(kwa mabinti). Kama kuna zaidi here from them.
 

Hofu ondoa huu ni mwaka wa uchaguzi watafaulu wote,lipa ada mwanao aende shule
 
hahaha hakuna lisilowezekana tanzania mtoa post watakuwa walisahau kusahihisha umewakumbusha mkuu ubarikiwe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…