leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
Yupo sahihi kwa sababu yeye hana hata darasa moja hivyo hajawahi kufundishwa na walimu.Ni aina ya watu ambao wakijiona wanakazi za kupokea rushwa wanadharau wenzaoLo minded,unajiita greater thinker!! You are nothing my friend,why unatudharau walimu? Sisi sio failure.
Yaaani wewe ni KIAZI kweli kweli au ni KIBONDEEEEE zaidi ya huyo kibonde.
Nani aliyekwambia Walimu, watangazaji na mapolisi ni failures... huo utafiti wako umeufanyia wapi... I wish ningejua taaluma yako.. Na nyie ndio mnafanya elimu ya Tanzania inazidi kuwa chinii.... Shame on you.
kaka kiswamp!......hv huyo ki-depression hayuko JF?Yawezekana nikawa nyuma ya wakati au wenzangu mkawa mmeniacha pengine kutokana na mazingira niliyokuwemo sikuwa na mawasiliano...... Huyu kibonde amefanya nini hadi yote haya yamkute na wewe ucheke sana!!!!!!!! Nawasilisha.
Wewe hujiulizi "kwanini kibonde tu na si wengine"?kibonde kiboko yao....!! endelea kubondesha ng'wanawane mpaka wakukome kukufuatafuata wazabinazabina wa jf.kwani kubandika matokeo yake hadharani inamzuia yeye kuwa kibonde..? kwani kubandika matokeo yake hadharani inampunguzia nini katika ajira yake..?wasio na kazi na majukumu ya kufanya ndo wanaoweza kuanza kufuatilia ISHU za watu, na kama mtu ana kazi na shughuli zake hawezi kuwa na muda mchafu wa kufuatilia ishu kama za kibonde na wengineo....!!hongera kibonde endelea kutupa vitu kupitia Klaudz EfuuuuuEmmmm................!!!!
halafu wachukue zako?kwaniiiiiii............. Hivi bilgate alipata division gani.........??? Hivi huko mitaani hakuna wenye div one waliofulia..........??? Au mnaweza mkanionyesha makaburi ya wenye zero...........???? Jadilini alichokiropoka na si anaumwa nini, alipata div gani, histioria yake ipoje......!!!! Nyie mnaojadili hapa mbona hamuweki matokeo yenu...........??? Au wote mlipata wani ya 7 and then wani ya 3......??? Acheni hizo.............
Yaaani wewe ni KIAZI kweli kweli au ni KIBONDEEEEE zaidi ya huyo kibonde.
Nani aliyekwambia Walimu, watangazaji na mapolisi ni failures... huo utafiti wako umeufanyia wapi... I wish ningejua taaluma yako.. Na nyie ndio mnafanya elimu ya Tanzania inazidi kuwa chinii.... Shame on you.
Yaaani wewe ni KIAZI kweli kweli au ni KIBONDEEEEE zaidi ya huyo kibonde.
Nani aliyekwambia Walimu, watangazaji na mapolisi ni failures... huo utafiti wako umeufanyia wapi... I wish ningejua taaluma yako.. Na nyie ndio mnafanya elimu ya Tanzania inazidi kuwa chinii.... Shame on you.