Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St. Francis ya Mbeya yaongoza

Tunamshuku Mungu kwa kutupatia JF....Maana huku tutatoa tahadhari mapema wazazi na walezi wasithubutu kupeleka watoto kwenye shule za Kisabato....

Huko kumejaa ngono na makambi ya kufundishia ngono
Kweli KBS kuna private ya kisabato huku 1- 0, 2-6 , 3-20 iv 53 na 0- 39 ni aibu imezdiwa na ya kata ya Elimu bure. Hyo shule kila jioni wote wanapigwa usabato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu sijui wataacha lini kupanga matokeo bila kufuata alfabeti.

Unaweza kusoma ila ukawa bado mjinga.

Wanachosha sana.
Matokeo hupangwa kwa kufuata center number, hiyo huondoa ambiguities zinazoweza kutokea ikiwemo shule kuwa na majina yanayofanana nk. Ukianza kulaumu bila kujua sababu unaweza kuonekana mjinga[emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo hupangwa kwa kufuata center number, hiyo huondoa ambiguities zinazoweza kutokea ikiwemo shule kuwa na majina yanayofanana nk. Ukianza kulaumu bila kujua sababu unaweza kuonekana mjinga[emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichokuwepo awali sicho kilicho sasa. Pia usipende kudandia usivyojua.

Utakuja kudandia waume za dada zako.
 
Asante! Tutajaribu!
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Wasomi hawakosolewi huko kwenu. Na huo utamaduni wa kushindwa kukosoa utakuja kuinamishwa kwneye ofisi za watu kwa kupigia goti usomi wao.

Kinyesi cha kitimoto.

Wasomi ni watu gani hadi wasikosolewe?
Nilikuwa nakuelimisha, pia najua ngumbalu silaha yenu ni matusi tu, huna hoja endelea na mitusi yako hainipunguzii kitu. Nasisitiza nenda shule!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…