Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St. Francis ya Mbeya yaongoza

Kilaza wa hapo ndio ana Div 1 .15 yeye ndio wa mwisho , katika mashindano hata wakishindanishwa wakali lazima kilaza atakuwepo!! Kilaza = Wa Mwisho.
Mkuu King Kong unakosea unaposema Kilaza = wa mwisho. Ukilaza maana yake ni uwezo mdogo wa mtu kufanya jambo. Neno hilo halina maana ya moja kwa moja na uwezo academically.
 
Ivi jamani ni shule gani ambayo ada yao haizidi milioni moja na laki tano ni bording nina kijana wangu yupo form two
 
Mkuu King Kong unakosea unaposema Kilaza = wa mwisho. Ukilaza maana yake ni uwezo mdogo wa mtu kufanya jambo. Neno hilo halina maana ya moja kwa moja na uwezo academically.
Mkuu inabidi ukubali tu,kwa hapo huyo aliyepata 1. 15 ni kilaza!!
 
Ivi izi shule za international huwa zinafanya mitihani gani maana kwenye matokeo ya necta hazipo kwa mfano Feza internatinal achana na feza boys na feza girls pia shule kama isamilo international ambayo ipo mwanza

Sent using i Phone x
 
Ivi izi shule za international huwa zinafanya mitihani gani maana kwenye matokeo ya necta hazipo kwa mfano Feza internatinal achana na feza boys na feza girls pia shule kama isamilo international ambayo ipo mwanza

Sent using i Phone x
Wakikujb nitag asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Turuu
 
Jamani hiv result slip za form four mwaka 2018/2019

Zinatoka lini?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…