Baltica Fortuna
Member
- Jan 22, 2019
- 22
- 14
Hongera zako na dogo pia!Matokeo nimeshayaona and thank God mwanangu ana division 1 ya point 9, na tunamshukuru Mungu shule imefanya vizuri sana kwani ni ya 7 Kitaifa..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera zako na dogo pia!Matokeo nimeshayaona and thank God mwanangu ana division 1 ya point 9, na tunamshukuru Mungu shule imefanya vizuri sana kwani ni ya 7 Kitaifa..........
Mkuu King Kong unakosea unaposema Kilaza = wa mwisho. Ukilaza maana yake ni uwezo mdogo wa mtu kufanya jambo. Neno hilo halina maana ya moja kwa moja na uwezo academically.Kilaza wa hapo ndio ana Div 1 .15 yeye ndio wa mwisho , katika mashindano hata wakishindanishwa wakali lazima kilaza atakuwepo!! Kilaza = Wa Mwisho.
Mkuu inabidi ukubali tu,kwa hapo huyo aliyepata 1. 15 ni kilaza!!Mkuu King Kong unakosea unaposema Kilaza = wa mwisho. Ukilaza maana yake ni uwezo mdogo wa mtu kufanya jambo. Neno hilo halina maana ya moja kwa moja na uwezo academically.
Wakikujb nitag aseeIvi izi shule za international huwa zinafanya mitihani gani maana kwenye matokeo ya necta hazipo kwa mfano Feza internatinal achana na feza boys na feza girls pia shule kama isamilo international ambayo ipo mwanza
Sent using i Phone x
TuruuHiki ndicho kipindi ambacho hata Ukijikwaa unaambiwa lione haliko makini ndio maana limefeli, hata Chakula unakula kwa Masimango sana. Jamani tujaribu kubadilika kufeli Shule sio kufeli Maisha, Watoto wetu wana Vipaji vingi vya kuwaendeleza ebu tujaribu kuwaendeleza/kuwafikisha katika Ndoto zao wanazopenda ipo siku watafanikiwa.