Matokeo ya Kidato cha nne: TUNALO LA KUJIFUNZA ZAIDI KWA KANISA KATORIKI?

Status
Not open for further replies.
WASIWASI MKUBWA KWA HAWA WENZETU KUPASI, NI KWAMBA TUTEGEMEE SANA KUYAONA HAYA YAFUATAYO!


https://www.jamiiforums.com/dini-im...ayedai-kutibu-ukimwi-akamatwa-kwa-kubaka.html


Mchungaji Paul LewisTuesday,
Mchungaji wa kanisa la Pentekoste la nchini Marekani ambaye alikuwa akidai kuwa na uwezo wa kuwaponyesha watu ukimwi na kansa kwa kutumia sabuni yake ya miujiza amekamatwa kwa kufanya mapenzi na msichana wa miaka 15. Mchungaji Paul Lewis wa kanisa la Pentekoste mwenye makazi yake jijini New York ameachiwa kwa dhamana jana nchini Jamaica ikiwa ni wiki mbili baada ya kukamatwa kwa kutuhumiwa kumnyanyasa kijinsia msichana wa miaka 15.

Mchungaji wa kanisa la Reedem afia chumba cha muumini wa kike akimwombea..Nairobi



MCHUNGAJI akamatwa kwa UJAMBAZI, adai mapepo yalimwingilia! [PHOTOS]

Ndoa ya kwanza kati ya Mbwa na Mwanadamu yafungwa jimboni California nchini Marekani!


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ha-miaka-30-na-viboko-12-baada-ya-kubaka.html
 

Ndio tatizo la kusoma darsa badala ya darasa.....kupata ILMU Badala ya ELIMU.... Hapo sijaona mtoto wa miaka 4/5 kahtaan.... hao wote ni watu wazima wameamua wenyewe kwa akili zao....Mimi nawaombea hawa wachanga wasiojuwa chochote wanaoharibiwa na waalimu wa madrassa. By the way wewe ulipona kweli? Maana hoja zako zinanipa shaka kidogo.
 
Last edited by a moderator:


WEWE JAPO KUWA ULIROPOKA KUHUSU Waislamu! LKN MIMI HUWA SINA TABIA YA KUROPOKA BILA USHAHIDI!!

Haya kataa na hawa waliokuletea wewe huo UKRISTO! Wenzako unawaita MABABA WATAKATIFU wanatafuna watoto wa kondoo kwenda mbele<

Q&A: Vatican child abuse scandal

This is the first time the Holy See is defending itself in public over its sex abuse record
The UN has accused the Vatican of "systematically" adopting policies allowing priests to sexually abuse thousands of children.
Pope Francis has said that dealing with abuse is vital for the Church's credibility, but the Church has been criticised over its inadequate response to some of the allegations.

When did the sex abuse scandals in the Church first come to light? US priest John Geoghan was jailed for his crimes, and later killed in prison by another inmate
The sexual abuse of children was rarely discussed in public before the 1970s, and it was not until the 1980s that the first cases of molestation by priests came to light, in the United States and Canada.
In the 1990s, revelations began of widespread abuse in Ireland.
In the new century, more cases of abuse have been revealed in more than a dozen countries around the world.

What are the most salient cases of abuse? Father Marcial Maciel enjoyed the support of Pope John Paul II for many years
Two major reports into Irish allegations of paedophilia in 2009 revealed the shocking extent of abuse, cover-ups and hierarchical failings involving thousands of victims, and stretching back decades.
In one, four Dublin archbishops were found to have in effect turned a blind eye to cases of abuse from 1975 to 2004.
A fresh scandal erupted in March 2010 when it emerged the head of the Irish Catholic Church, Cardinal Sean Brady, was present at meetings in 1975 where children signed vows of silence over complaints against a paedophile priest, Fr Brendan Smyth. This prompted Pope Benedict XVI to apologise to Irish victims.
In the US, the Boston Archdiocese has been worst hit, with the activities of two of its priests, Paul Shanley and John Geoghan, causing public outrage. Cardinal Bernard Law resigned over the scandal in 2002.
In Mexico, the founder of the Legion of Christ order, Marcial Maciel, long admired by Pope John Paul II, was disciplined by the Vatican in 2006 over the abuse of boys and young men over a period of 30 years. The Legion insisted his was an isolated case, but seven more priests of the order have been investigated.
The bishop of the Belgian city of Bruges, Roger Vangheluwe, resignedin 2010 after admitting that he had sexually abused a boy for years.

How has the Vatican responded? Cardinal Bernard resigned in 2002 over the mishandling of sex abuse cases
Since his election last year, Pope Francis has appeared to offer new hope to victims, with a call for action on sex abuse in the Church. Under his papacy, a Vatican committee has been set up to fight sexual abuse and help victims.
Vatican officials submitted publicly to questioning for the first time in January 2013, before a UN panel in Geneva, but refused to supply data on abuse cases.
Pope Francis's predecessor, Benedict XVI, was accused of suppressing the investigation of paedophile priests, a charge he denied last year.
When the first scandals emerged in 2001, the Vatican issued guidelines for senior clergy on how to handle paedophile priests, which stated that all cases should be referred to Rome. Until then, all cases had been handled by the Church in the country concerned.
After a spate of new cases in 2010, the Vatican issued new rules saying bishops should report suspected cases of abuse to local police, if required to do so by law.

What does the UN say?The UN's Committee on the Rights of the Child (CRC) said the Vatican should "immediately remove" all clergy who were known or suspected child abusers.
In a strongly-worded report, it lambasted the Holy See's "practice of offenders' mobility", referring to the transfer of child abusers from parish to parish within countries, and sometimes abroad. It complained that the Holy See had not acknowledged the extent of crimes committed and had not taken the measures necessary to address cases of child sexual abuse and to protect children.

What do the victims say? Many campaigners feel the Vatican has been dragging its feet
Victims' groups have responded to almost every move by the Vatican with scepticism.
Reacting to the UN report in February, Barbara Blaine, the president ofSnap (Survivors Network of those Abused by Priests), said it was clear that the Vatican had put the reputation of Church officials above protection of children.
"Despite all the rhetoric from Pope Francis and Vatican officials, they refuse to take action that will make this stop." she said.



[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="class: articleTitle"]UN condemns Vatican child abuse cover-up
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: Tmp_hSpace10"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UN demands that all clergy known, or suspected to be, child abusers be removed from their posts immediately.


[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: DetailedSummary"]The UN has rejected a Vatican argument that it cannot implement a children's rights convention beyond its walls, saying the church has "placed the reputation of the church and the protection of the perpetrators above children's interests."
The Vatican was denounced on Wednesday by a UN human rights committee for failing to prevent priests raping and molesting tens of thousands of children over decades and for adopting policies that allowed abuse to continue once detected.
There was not, the committee said, adequate provision to ensure that cases like Ireland's Magdalene laundries scandal - where girls were arbitrarily placed in conditions of forced labour - could not be repeated.
Offenders are moved around to new churches or locations, in order to protect them, while putting more children at risk of abuse, the report said while also condemning the "code of silence" imposed on child victims and the fact that those exposed almost always avoided prosecution.
"The Committee is gravely concerned that the Holy See has not acknowledged the extent of the crimes committed, has not taken the necessary measures to address cases of child sexual abuse and to protect children, and has adopted policies and practices which have led to the continuation of the abuse by and the impunity of the perpetrators," the report said.
The Vatican said it regretted what it called an attempt by the UN committee to interfere with its teaching on abortion and contraception.
It said in a statement that it remained committed to defending and protecting the rights of children but that it regrets that the committee had attempted "to interfere with Catholic Church teaching on the dignity of human person and in the exercise of religious freedom."
Al Jazeera's Simon McGregor-Wood, reporting from Geneva, said that the report would put pressure on Pope Francis, who until now has been warmly received, and that the Vatican is uncomfortable with being forced into a public debate.
"What we're seeing here is pretty much a clash of cultures," he said. "The UN committee is peopled by ardent advocates of human rights - educationalists, child psychologists, legal experts. The Vatican, on the other hand, is very secretive - a hierarchical organsation that is very much used to doing its business in private and keeping its secrets secret."
Compulsory reporting of cases to local law enforcement has consistently been rejected by the Church, something the UN body condemned, highlighting cases of priests and nuns being ostracised for speaking out.
'Full compensation'
The report recommended that a new commission, set up by Pope Francis, should ask for civil society help and share all its data in public, ending a culture of failing to provide information about private investigations. It also ordered a rehabilitation centre be set up and "full compensation" be paid to the victims and their families.
A claim by the Vatican that it can not implement the convention beyond its walls was rejected. The UN said that signing the convention meant a responsibility to see it implemented "everywhere you have a priest or a school or a mission that comes under Catholic supervision".
The UN demanded that all clergy known or suspected to be child abusers be removed immediately. The committee also said archives containing details of past abusers should be handed over so that culprits, as well as "those who concealed their crimes", could be held accountable.
The Holy See was also criticised for its attitudes towards homosexuality, contraception and abortion, with the report finding that its attitudes often increased the risks faced by gay or transgender people.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]





Je! We Mkirua unaona wale kabila moja na mungu wako wanavyobaka watoto wadogo!?

Au lugha inakupa tabu!? Manake naona umekaa mdomo wazi hapo!
Hata kujibu umeshindwa!

Ndio nikasema. Hao waparoko wenzako watakuja tuharibia taifa!
Bora wafeli tu!
 
Last edited by a moderator:
mnapo angalia majina na kujikita kwenye udini ni upotofu mkubwa sana,hivi mbona amjadili kushuka kwa elimu au kuporomoka kabisa kwa shule za umma zile ambazo wakati tunakuwa ndio zilikuwa kimbilio la wenye vipaji maalumu?shule kama ILBORU,MZUMBE,KIBAHA,TABORA BOYS,TABORA GIRLS,KILAKALA,MSALATO,MAZINDE JUU,IYUNGA TECH,MOSHI TECH, TUSIPO hoji kwanini shule za umma matokeo ni mabaya na tutakabiliana vipi kuzinusuru mjue elimu yetu tunakwenda kuizika,maana kwenye shule za UMMA ndipo vijana na watoto wengi wanakwenda kupata elimu huko,tusijadili dini kabisa matokeo kwa ujumla wake ni mabaya sana
 
Mkuu naona umechambua kwa upana wake, nafikiri unafuatilia vizuri mchakato wa usahihishaji na upataji matokeo.
Naomba unisaidie maswali yafuataYO:
1. Ni asilimia ngapi ya walimu wa kikristo dhidi ya wale wa dini nyingine wanaokwenda kusahihisha mitihani ya Baraza la Mitihani? Na ni kwanini kama walimu wa katoliki wako wengi na wanapendelea shule zao wale wa madhehebu mengine kama KKKT wenye kumiliki shule za sekondari na msingi pia wasilalamike?

2. Hivi kwenye kusahihisha mitihani, karatasi za watoto zinakuwa zimeandikwa namba zao (Index Number) au majina yao? Nakumbuka mimi wakati nafanya mitihani yangu enzi hizo nilitumia namba ya mtihani tu, je utaratibu huo umebadilishwa?
 
Hiyo haiwahusu hata kidogo.
Wanasema kitabu chao kina elimu yote,
Yaani kwenye uzi kama huu kina FaizaFoxy na Ritz wanaingia kama Guests.
Kwa bahati nzuri nimezaliwa na kukulia Tanga. Hebu niwaulize ni kwanini Vyuo vikuu vya Kwanza vya kiislamu vipo Tanga? Kuna Tamta pale karibia na kota za polisi mabanda ya papa, Zahrau pale Mwanzange karibu na Kombezi. Sasa hivi kumefunguliwa chuo kikuu kingine kikubwa kipya cha kiislamu maeneo ya Duga karibu na kitongoji cha Magomeni. Achana hivi vyuo vya Kikristo vilivyoibuka karibuni kama Sebastiani Kolowa nk. Huku karibia kila mtoto amefika level ya chuo kikuu kwenye elimu ahera. Swali, je kwenye elimu dunia vipi???

Maeneo mengi ya pwani mtoto akizaliwa kipaumbele ni elimu ahera kwanza, elimu dunia baadaye. Wakati wakristo walianza zamani kupeleka watoto shule kwanza mengine baadaye. Ule usemi wa "samaki mkunje angali mbichi" ungetumika vizuri hizi lawama za kupapasa zisingekuwepo.
 
mkuu binafsi siamini kama wana agent NECTA, moja ya sababu ambayo inachangia hizi shule za st zionekane zinafaulisha ni mtindo wao wa kufanya mchujo kila kidato, mwanafunzi anahamishwa kwenda shule nyingine sababu ya kutofikisha wastani wao wa shule, kwa mantiki hiyo hizi shule zinakusanya wanafunzi wale tu wenye uelewa rahisi, kama wastani ni 55 mwanafunzi akipata wastani wa 54 anahamishwa!
 

Kaa wambwa mgalatia eehh....aiseee hata mtangulizi wake Maa ge Mbeee....
Sasa hawa wanawake malaya uliwafahamia wapi Ustaadh? Au ndo yale yale mambo yenu? Wanne na Masuria kadha na yeyote atakayependwa na uncle Muddy. Halafu tunazungumzia maswala ya Tanzania picha za wazungu ulizoweka hazihusiani...bado natafuta elimu (sio Ilim) ya ku upload sauti humu ndipo uupate ushahidi wangu kwa ufirauni mnaofanyiwa/fanyiana.
 
mi naamini suala la dini sio ishu sana. mimi mwenyewe nilisoma moja kati ya shule za katoliki ila kiukweli sikuwahi kufuatilia imani yao wala wala mambo yoyote yahusuyo dini yao. na nikasoma nikamaliza o-level vizuri, sasa kama tunataka wadogo zetu wafanye vizuri kama hao wa seminari nafikiri tunatakiwa tujiulize ukiondoa imani na dini yao kwenye hizo shule zao ni kipi tunatakiwa tukikopi kutoka kwao. inaweza ikawa miundo mbinu yao ni mizuri ikiwemo maji, umeme, internet, walimu wako wa kutosha, vitabu vipo na vitu vingine vya kujazia. nafahamu kuna wazazi baadhi hawapendi kuwapeleka watoto wao kwenye shule hizo. kuna shule nyingi ambazo wakristo na waislamu wanaweza kwenda kusoma wakaishi poa na kumaliza salama na pia ni boarding ila Je ndo tujiulize zinafaulisha kama hizo seminari za R.C kama jibu ni hapana sasa hawa wenzetu huwa wanafanya nini mpaka shule zao zinafanya vizuri. tukishagundua kitu wanachofanya wenzetu labda nasi tukichukue hicho tukilete huku kwenye hizi mixed school ambazo, wapagani, wakristo na waislamu wanasoma. tuone kama tutafanikiwa kama wao. mfano hiyo shule ya st. Francis binafsi nilianza kuisikia 2003 ila mpaka leo naona inaendelea kufanya vyema ngazi ya kitaifa. anyway ngoja niishie hapa
 
Hahahaaaaaaaaaa...mkuu Mkirua una maswali mengi sana kwani wewe ni Inspecta General of Police? Nakumbuka nilipokuwa Tanga enzi hizo ilikuwa haipiti mwezi kusikia habari ya maalim wa madrasat amemu-Athuman Maumba mwanafunzi wake.

NB: Wale waliokula chumvi ya kutosha pekee ndiyo wataelewa mwishoni mwa miaka ya 80 Athumani Maumba alifanya nini.
 
tunaacha kujadili mambo ya msingi kwenye taifa letu kuhusiana na mustakabali wa elimu yetu sisi tunajikita kwenye mambo ya udini usio na tija
 
Mkuu hapo ndipo pa kujiuliza na sio kuletamada zinazoibua chuki badala ya kutafuta suluhu ya tatizo. Mwisho wa siku watu wabebe mabango na kuandamana bila vibali vya dola.

Niliwahi kuwa na rafiki yangu mkristo alichukua ualimu, akabahatika kufanya BTP (Block Teaching Practice) Seminary ya Al-haramain iliyopo pale Ilala. Alijikuta ni yeye na baadhi ya wanachuo wenzake ndiyo wakristo, walimu wote waandamizi majina yao ni Mustafa, Ali, Hamisi nk. Alipojaribu kufanya utafiti alibaini kuwa ni vigumu kwa mwalimu asiye mkristo kupata kazi pale. Pia wakati wa wiki ya zamu ya mwalimu husika ni lazima ifikapo wakati wa swala aingie na wanafunzi wake msikiti uliopo hapo hapo shuleni, na pale mwalimu haitwi kwa kuanzia na kiimbo cha "Sir/Madam" kama huku kwingineko pale ni Ustaadhi tu.

Hili ni tofauti kidogo kwenye shule za kikristo, pale mwalimu huajiriwa kwa sifa zake (CV) kwanza, vigezo vingine hufuata baadaye.

Hili linanipa shaka kama kweli tunafanya hivi, je ubora wa walimu wetu ukoje huko kwenye seminari za kiislamu?? Tuige mazuri kutoka kwa wenzetu tusing'ang'ananie tu mafundisho ya kuwatenga hata kama kuna mazuri wanayofanya.
 
mkuu grafani 11, kama kweli tuna nia ya kuipeleka mbele elimu na kuwasaidia hawa vijana inabidi hizi tofauti za udini kama zipo inabidi ziishe. shule nyingi za serikali hazina miundombinu bora na kiukweli tusipokomaa hatutafika sehemu. mimi ilifika kipindi nachagua shule nilikuwa nauliza kama ina maji maana nilijuzwa kuwa kuna zingine maji ni ya kuteka tena ni mbalii aiseee. so hii ilinisaidia sana mkuu
 

Nimekuona mjinga ulipo sema shule za kikristo zilikuwa zinaendeshwa kwa kodi za wananchi.
 
utakuja kuwa dissed tu hapa

huo ni upuuzi. Huwezi kuanza kuchambua matokeo kwa kutumia dini au makabila. Kwa msingi huo unawasumbua watu kisaikologia. Kwani wazazi wa kiislamu huwa hawahangaiki na watoto wao au? Huna hoja wala mantiki ya kutuletea mjadala wa aina hii. Tena inaonekana kuwa kuna jambo unataka zaidi ya hapo. Wanafunzi wote hufundishwa kwa usawa. Labda ufatiliaji na si vinginevyo.
 
yes...
kati ya hizo shule 10 za katoliki ni 9... very nice my church am so proud to be a CATHOLIC

kumbe mpo wengi wa design hii, usijisifu kuwa mkatoliki maana haukupeleki popote, since umekua mkatoliki umefaid nini? ksawa wakristo tumefanya vzr ila katk elimu wewe unaelim ngaz gan? mfumo toka enz za ukoloni ndo umefanya ndugu zetu wasipate asas ktk elimu, wakristo wengi walipata bahat ya kusoma, tukitoka kwenye udini tutakuja kwenye ukabila kabila gani waamesoma sana, tukitoka huko tunakuja kwenye mikoa gani inawasomi, kwanini tusiangalia mporomoko wa elimu kiujumla na kuipachangamoto serikali, sidhani kama mleta mada alifikiri kabla ya kupost
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…