povu lote hilo la nini mkuu? dogo ameuliza swali rahisi na ameshajibiwa (na wenye busara zao). maelezo yoote haya ya nini? halafu kumbuka miaka "yetu" unaiyosemea hapa mchakato mzima wa mitihani mwanzo mwisho ilikuwa ni "manual" mwanzo mwisho! kaazi kweli kweli!