Matokeo ya Kidato cha Pili 2016

Matokeo ya Kidato cha Pili 2016

Kipilipili, hebu njoo uone watu ambao huwa unawaulizaga maswali magumu huku ukiwaambia wasome research papers-- dogo hapo juu ndo kwanza Form III !! Mi ndo maana huwa naishia kuwawekea mapicha tu manake mbali na ujuvi wao wa matusi huku wakijifanya kujua kwingi, majority hawana ubavu wa kusoma angalau page moja, seuze paper mzima... Na ukishawawekea mapicha ambayo ndo wanayaelewa zaidi kuliko texts, hapo hapo wanapiga kimya!!! Tena wawashukuru moderators manake inaelekea ule uzi wameufuta!!! Sie wengine tulivumilia matusi lakini inaelekea walikuja wengine ambao wakaamua na liwalo liwe vinginevyo sijui kwanini siione ile thread!!! Nasema wawashukuru moderators manake nilikuwa najiandaa kuwawekea mapicha ya mwisho mwisho; ambayo yangewaacha watupu na baada ya hapo ningeachana nao jumla kama ambavyo ulishauri!!
 
Back
Top Bottom