Usikimbie kivuli chako. Kama ulikuwa unashinda kwenye facebook sasa ujue majibu yako wa kumchora Messi kwenye "answer scriptbook" yatakutangulia kwenye maisha ya kubeba maboksi na kuoa mapema!
Humu ndani kuna wa2 hawajambo kwa kujifanya wanajua mambo! Swala la m2 kufeli au kufaulu cdhan kama lina ingiliana na kushinda fb,twte ama jf hapa ni Uelewa wa m2 mwenyewe. NA kwanini 2na kuwa na destul ya kutoa majibu mawili ktk swali moja?