Matokeo ya Kidato cha sita ni hivi karibuni

Matokeo ya Kidato cha sita ni hivi karibuni

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Matokeo ya kidato cha sita yako tayari.Vikao husika vya kupitisha na kuidhinisha kutolewa kwake vinaendelea NECTA.


Lakini,Serikali imeagiza kuangaliwa vyema kwa matokeo hayo ili kuzuia kutokea kile kilichotokea kwa Kidato cha Nne. NECTA kila mara wanakumbushwa juu ya hilo ingawa maelekezo hayo hayako wazi juu ya nini hasa kinachotakiwa kufanywa.


Matokeo rasmi kutolewa siku za hivi karibuni (kuanzia Jumatatu ya tarehe 20/5/2013). Wahusika wote,kila la kheri!
 
Back
Top Bottom