Elections 2010 MATOKEO ya kura za awali CCM August 1, 2010

Jamani huko Iringa Prof. Msola, Kandoro na Lukuvi vipi? sioni wakitajwa

Lukuvi ameshinda Isimani,Kandoro kaanguka,kilolo kuna vurugu mpaka dakika hii matokeo bado kuna vituo hawajapiga kura,
Mungai aanguka,Malangalila Anguka ,yono kivela nje, Makweta nje Mwalyosi nje,mbega nje
 

Mkuu inabidi uelewe kuwa CCM huwa ina sura mbili....on the surface and underneath....hiyo ya kwanza ndio Mwenyekiti na katibu...hiyo nyingine ndio inayoleta mizengwe...Nyerere mwenyewe ilimbana 1985 na 1995 kwa Salim huyohuyo.....sitashangaa Mkapa kukutwa na hilo..BTW yeye ndio alikuwa mtu wa mwisho nadhani kuongea na Nyerere...pengine alimwambia amsimamishe Salim 2005 na sio Kikwete...kukosekana Mangula au mtu wa aina yake ndio kunayumbisha CCM kwa sasa...Makamba?...kandambili kwa kiatu....
 
Hayo maneno nimeyafurahia sana mkuu...km hiyo ndiyo kumfuata mtu kwa karibu basi........tehe tehe tehe....nafurahia ushindi wa mwakyembe...
 
Lukuvi ameshinda Isimani,Kandoro kaanguka,kilolo kuna vurugu mpaka dakika hii matokeo bado kuna vituo hawajapiga kura,
Mungai aanguka,Malangalila Anguka ,yono kivela nje, Makweta nje Mwalyosi nje,mbeha nje
Eeeh huko Iringa patamu. hebu tupe data zaidi, nani ameshida Njombe kaskazini, Kusini na magharibi?
 
L.......Yono Kivela nje, ........
Wacha wamtose akaanze rasmi kazi ya kuwapiga chapa usoni wenye virusi vya UKIMWI kama alivyoshauri.
Samahani, hili oni hata mimi lilinikela na kuniudhi sana
 
Najaribu kupiga simu kupata matokeo ya SIKONGE ila nimekwama kabisa. Kwa sasa nipo safari Geita. Ikitokea mtu akapata matokeo haraka basi aturushie hapa.

Pia kama kuna mtu anafahamu matokeo kati ya John Komba na mpinzani wake Daniel Mangweha.
 
Ngawaiya atafurukuta kweli kwa Salakana? (Mbabe wa zamani wa Mramba)
 
Kama hayo hapo juu ni kweli,Karne ya 21 Salelii anaamini kuna secret Agreement kwenye siasa sio kwamba tu hajui siasa but he doesnt use common sense as well.
Secret agreement litafuatwa pale utakapokuwa na nguvu kisiasa kuliko uliongia nao makubaliano ambayo chance ni sawa na ziro
 
Salakana kachukua mjini, lakini Mzee Ndesa Pesa will have him for breakfast
 
Mramba kapita tena sanaaaa...Mzee pesa mbili alifanikiwa kupeleka na kujipatia maendeleo! Killed two birds with one stone, tusikilizie kesi kama inaweza kuwa influenced na kura...or vice versa
 
Jamani kama kuna mwenye taarifa/matokeo kura za maoni mkoani Iringa hasa wilayani Njombe
 
mramba kapita tena sanaaaa...mzee pesa mbili alifanikiwa kupeleka na kujipatia maendeleo! Killed two birds with one stone, tusikilizie kesi kama inaweza kuwa influenced na kura...or vice versa

yesuuuuuuuuuuuuuuu na mariaaaaaaaa na yosepf mtakatifu yaniiiiiiii bado unaamini kuna kesi paleapawomi
 
Vipi Ole Sendeka yupo au nje?
 
wabunge wote wawili wa karagwe (blandes- karagwe na katagila - kyerwa) wameshinda kura za maoni na hivyo watatetea majimbo yao.

nani kakwambia hapo ni mwanzo kuna vikao vya kupaka na kupakua wasubiri humo hiyo ndio ccm sasa sijui kura za nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…