Elections 2010 MATOKEO ya kura za awali CCM August 1, 2010

Elections 2010 MATOKEO ya kura za awali CCM August 1, 2010

Pole Mhe ila Wanyamwezi amkeni sasa........
 
Huwa hatuna HARAKA na habari kama hizi. Ukweli ukifahamika, nitakuja hapa KUMPA HONGERA MSHINDI.

Haya ni mashindano tu na Demokrasia inataka mmoja ashinde na wengine washindwe. Kama mtu alifikiri nitataka Mwakalinga ashinde kwa NGUVU basi anafanya makosa makubwa sana kwani mie siyo Dictator. Kama Mwakalinga kashinda, HONGERA ZAKE na kama Mwakyembe kashinda basi HONGERA ZAKE. Kama Mwanjala kashinda pia HONGERA ZAKE.

LIFE GOES ON. Asiyekubali kushindwa si MSHINDANI. Ila siamini kuwa Mwakalinga amekuwa wa TATU.
Mbona leo unaongea kwa unyonge sana si kawaida yako kama wakati ule mnatupa CV ya nani vile.....
 
Nasikia January Makambaa kashinda katika Kura za maoni za jimbo la Bumbuli, kambwaga mzee Sherukindo
 
Pia huko Mbeya mfanyabiashara mwenye mtandao wa mahotel ya Nkwenzuru kashinda kura za maoni CCM
 
Khe khe khe hivi Tanzania wanachama wa Chama Cha Majambazi wamekwisha? Mbona idadi ya kura ni kidogo sana? Hii ina maana gani? Je, Chama Cha Majambazi wanaweza kushinda wakati hawana idadi ya wanachama wengi wa kukiwezesha kupata ushindi wa bure? Au ndio mazingaombwe ya kila siku? Je hii ni sababu mojawapo ya kuanzisha matawi nje ya nchi ili wapate wigo la maharamia?
 
Hili ni jimbo la kyela. nitafuatilia uzi huu kwa karibu. Zaidi ya siasa naburudika kuona comment za mzungu na askari
 
Safi sana!!!!! Alizidi sana kubabaisha watu. Mara anampinga Kikwete mara hampingi tena. Watu wa jimbo lake wameshamwona huyo anatafuta tu publicity hana jipya. Piga chini. Akatafute kazi nyingine.
 
Quinine
user-online.png
Senior Member Join Date Mon Jul 2010
Posts 93
Thanks : 1
Thanked 21 Times in 13 Posts

Mkuu, naona umejiunga mwezi huu tu na hizi CV zilikuwa zinawekwa mwaka huu mwanzoni. Unaonaje ukirudi kwa jina lako la zamani?

Anayeongea kwa unyonge ni nani? Unataka nikutukane ndiyo uone siyo mnyonge? Lione, bichwa ka VX 6 la Kikwete. Are you happy now?

Watu wengine bana, imekaa kama Wabeba Zege. Usipolitukana, wala halikuheshimu. Hii mitani yangu Minyakyusa, sijui niifanyaje.....?

Ngoja Ngosha nikajilie Matobolwa yangu. Mwaka huu ni matamu nyie, heheheeee, Nyani Ngabu huko USA uliye tu.


Mbona leo unaongea kwa unyonge sana si kawaida yako kama wakati ule mnatupa CV ya nani vile.....
 
[
LIFE GOES ON. Asiyekubali kushindwa si MSHINDANI. Ila siamini kuwa Mwakalinga amekuwa wa TATU. [/SIZE][/QUOTE]

Ok! si uliwahi kusema MwakaL anaongoza mbali saana, ukasema Mwaky ni fisadi.! Pole mkuu. Vox populi..
 
Malecela (Mtera)

Lembeli

Shelukindo (Bumbuli - Januari Makamba kachukua)

Selelii (Nzega - Hussein Bashe kachukua)

Kimaro (Vunjo)

Harison Mwakyembe anaongoza ktk vituo 50 kwa kura 4,901 George Mwakalinga 417 Elius Mwakalinga 262, Elius Mwanjala kura 227, Rhoda Mwamunyange 109 (Awali nilisema unarudiwa, hapana, zilikuwa ni taarifa zisizokamilika, nimerekebisha), vituo vilivyobaki ni vichache, ni wazi Mwakyembe atashinda!
 
Quinine
user-online.png
Senior Member Join Date Mon Jul 2010
Posts 93
Thanks : 1
Thanked 21 Times in 13 Posts

Mkuu, naona umejiunga mwezi huu tu na hizi CV zilikuwa zinawekwa mwaka huu mwanzoni. Unaonaje ukirudi kwa jina lako la zamani?

Anayeongea kwa unyonge ni nani? Unataka nikutukane ndiyo uone siyo mnyonge? Lione, bichwa ka VX 6 la Kikwete. Are you happy now?

Watu wengine bana, imekaa kama Wabeba Zege. Usipolitukana, wala halikuheshimu. Hii mitani yangu Minyakyusa, sijui niifanyaje.....?

Ngoja Ngosha nikajilie Matobolwa yangu. Mwaka huu ni matamu nyie, heheheeee, Nyani Ngabu huko USA uliye tu.


Lol...naona hali ya Mwakalinga si nzuri.....maana ghafla bin vuuu tone yako imebadilika kabisa
 
Kuna taarifa (zinasubiri uthibitisho tu) kuwa Mwakyusa kabwagwa vibaya na Richard Kasesela
 
Huyu jamaa mtani wa JK nahakika JK akifanikiwa kuingia ikulu atagawiwa nafasi kama ya DC au RC au nafasi nyingine.
 
Invisible,
Tafadhali kusanya thread zote hapa maana inakera. Asante
 
Back
Top Bottom