Who Cares?
Habari zinasema Mbunge aliyemaliza muda wake kaweza kutetea kiti chake kiurahisi kabisa hapo Kinondoni
Aaagghhhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who Cares?
Habari zinasema Mbunge aliyemaliza muda wake kaweza kutetea kiti chake kiurahisi kabisa hapo Kinondoni
Hizi habari mnazipata wapi Jamani? For your information, Prof. Mwakyusa ameshinda kwa kura nyingi tu. Subiri official news in a few hours time.
Swali ulilouliza Mkuu ni la msingi sana. Kuna wakati sijui nani tumuamini katika thread hii. I wish kungekua na moderator au anayetoa taarifa angalau atoe na uthibitisho wa data - mgawanyiko wa kura ulivyo, ili tujue habari ipi ni sahihi na ipi si sahihi. Mara ameshinda huyu mara huyo huyo ameshindwa.
Hiloooooo linaona haya hiloooooQuinineSenior Member Join Date Mon Jul 2010![]()
Posts 93
Thanks : 1
Thanked 21 Times in 13 Posts
Mkuu, naona umejiunga mwezi huu tu na hizi CV zilikuwa zinawekwa mwaka huu mwanzoni. Unaonaje ukirudi kwa jina lako la zamani?
Anayeongea kwa unyonge ni nani? Unataka nikutukane ndiyo uone siyo mnyonge? Lione, bichwa ka VX 6 la Kikwete. Are you happy now?
Watu wengine bana, imekaa kama Wabeba Zege. Usipolitukana, wala halikuheshimu. Hii mitani yangu Minyakyusa, sijui niifanyaje.....?
Ngoja Ngosha nikajilie Matobolwa yangu. Mwaka huu ni matamu nyie, heheheeee, Nyani Ngabu huko USA uliye tu.
Magazeti ya GPL leo sijaona yakiandika habari za Shigongo tofauti na ilivyozoeleka wiki nzima iliyopita. Nani ana matokeo ya Buchosa?
malaria sugu yupo wapi jamani nataka mawazo yake kwenye huu uchafu wa ccm.
Sasa you guys are reading way too much into it...
Vipi MASANILO nae ameshinda?
Namsubiri aje tumpe poleBro Masa anapumulia mashine wapiga kura wake wamakimbia na kura.
Mwakalinga je? Kwishnei au?