Matokeo ya kura za Bunge Maalum La Katiba

Matokeo ya kura za Bunge Maalum La Katiba

UNDENIABLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
2,326
Reaction score
1,314
Wanapenda mabadiliko.

Hapa ni maalum kwa ajili ya kupata matokeo ya Bunge la Katiba.

Nimebaini kuna wadau wetu wengi sana wanakosa pahala maalum kwa ajili ya kufuatilia kuhusu 2/3 na matokeo kwa ujumla ya Bunge L katiba

Kwa kuanza tuwekeni majina ya wale wote waliopiga kura ya wazi na kura ya siri.

Karibuni wote.
 
1.Samwel Sitta...Ndiyo

2.Selfu Ally Idd...Ndiyo

3.Mizengo Pinda......Ndiyo

4.Anna Makinda.........Ndiyo

5.Pandu Kificho..........Ndiyo

6.Bernard Membe.....Ndiyo

7.Edward Lowassa.....Ndiyo

8.Job Ndugai...........Ndiyo

9.Abdallah Juma Abdallah.....Ndiyo

10.Shamsi Nahodha.........Ndiyo

11.Ally Abdalah Ally..........Ndiyo

12.Abas Zuber Mtemvu.........Ndiyo

13.Ally Abdalla Ally....Ndiyo

14.Cellina Kombani....Ndiyo

15Asha Makame........Ndiyo

16.Asha Mohhamed Omari.......Ndiyo

17.Abdul Azizi Mohamed...Ndiyo

18. Said Arfi......Hapana

19.Abdul Rajab Mteketa....Ndiyo

20.Abdul Jabil...Ndiyo

21.Fatuma Mohamed Hassan...Happana.

22.Abia Nyabakali.......Ndiyo

23.Christina Mzava...Ndiyo

24.Christina Ishengoma...Ndiyo

25. Christopher Ole Sendeka.....Ndiyo

26.Adam Mallima.........Ndiyo.
 
Hawa hapa ni ukawa:

1. Freeman Mbowe

2. Prof Lipumba

3. James Mbatia

4. John Mnyika

5. Julius Mtatiro

6. Halima Mdee

7. Tundu Lissu

8. Godbless Lema

9. Mosses Machali

10. Ezekiah Wenje
 
Naendeleza list ya ukawa

11. Halima Mdee

12. Magdalena Zakaya

13. Gekul

14. Felix Mkosamali
 
List za ukawa na kura za ndio na hapana zinaendelea...........
 
Hawa hapa hawakuwepo bungeni lakini sio ukawa:

1. Deo Filikunjombe

2. Esther Bulaya

3. Kangi Lugora

4. Zitto Kabwe
 
List za wale wasiokuwepo na si ukawa inaendelea pia!
 
Majina yote ya wajumbe wa bmk yatapatikana hapa na kura zao km ndio ama hapana ama siri ama wazi!

Tunataka kumbukumbu iwepo kuwafahamu wote na misimamo yao kuhusu katiba mpya!
 
Waliopiga kura jana:

27. Augustine Mrema......Ndiyo

28. Getrude Lwakatare.....Ndiyo
 
Waliopiga kura jana:

29. Goodluck Ole Medeye.......Ndiyo
 
List ya ukawa:

15. Joshua Nassari

26. Juma Ladhu
 
Kaka mbona hauendelei na mimi nazitaka hizi kumbukumbu ili tuje kuzitumia hizi baadae@undeniable
 
Kila mtu anaweza kuziendeleza mkuu, sio mm mwenyewe hata wewe unaweza ku add majina kama unayafahamu kwa uhakika zaidi!
 
Waliopiga kura jana:

30. Namelock Sokoine.......Ndiyo
 
Kuweka kumbukumbu sahihi:

BMK lina wajumbe 629 yaani jumla nzima hata ukawa nao humo humo.

419 kutoka tanzania bara na 210 kutoka zanzibar
 
Mara nyingine acheni utani kwenye mambo ya msingi,

ZITTO alisema yeye ni UKAWA

Acha utani usio na tija weww, tangu lini zitto kasema yeye ni ukawa. Na ni ukawa kwa tiketi ya chama gani!

Unatuharibia uzi wenye manufaa kwa wengi!
 
Back
Top Bottom