Matokeo ya kura za Bunge Maalum La Katiba

Matokeo ya kura za Bunge Maalum La Katiba

Akidi ya tanzania bara ni 280 na akidi ya tanzania visiwani ni 140
 
Wakati kura zinapigwa kulikuwa na watanzania bara 295 na watanzania visiwani 142
 
[QUO TE=Duble Chris;10744423]Mara nyingine acheni utani kwenye mambo ya msingi,

ZITTO alisema yeye ni UKAWA[/QUOTE]
ZITTO aliwakana UKAWA JAPO Alisema Awali Aliunga Mkono SERIKALI 2 ila baada ya Kusikiliza Presentation ya Tume Amebadili Mawazo na Kuunga Mkono 3 ila si UKAWA Angekuwa nao Angeshiriki HARAKATI ZAO
 
Waliopiga kura:

31. Abdi Mohamed Ally.......Hapana

32. Alley Sudi Nassoro......Hapana

((hawa ni kutoka tanzania visiwani))
 
[QUO TE=Duble Chris;10744423]Mara nyingine acheni utani kwenye mambo ya msingi,

ZITTO alisema yeye ni UKAWA
ZITTO aliwakana UKAWA JAPO Alisema Awali Aliunga Mkono SERIKALI 2 ila baada ya Kusikiliza Presentation ya Tume Amebadili Mawazo na Kuunga Mkono 3 ila si UKAWA Angekuwa nao Angeshiriki HARAKATI ZAO[/QUOTE]

Thanks mkuu!
 
Hawa hapa hawakuwepo bungeni lakini sio ukawa:

1. Deo Filikunjombe

2. Esther Bulaya

3. Kangi Lugora

4. Zitto Kabwe

Ha ha haa.. Mie Jf napenda vituko vyake tu, Mtu anaweza Kuanzisha sred, maneno mengi yanapambwa kwelikweli Kumbe anataka kurusha "kitu" kimpate Mtu .. Ha ha haa.. Embu mwacheni Zitto. Zitto ni zao la Siasa Za mabadiliko. Anayoyapitia Kwa sasa yatamletea Matokeo mawili AMA Kuwa mwanasiasa mahiri au Ndo kufia hapo hapo..
 
Jumla ya Wabunge wote wa
Bunge la Katiba = 629
Tanganyika = 412
Zanzibar = 217
2/3 ya 217 = 145
1/3 ya 217 = 72
Kuinyima Rasimu ya Vijisenti 2/3
ya Zanzibar zilitakiwa zaidi ya
kura 72 (kwa maana zikipatikana
73 hapana 2/3 ya Zanzibar)
Sasa hesabuni nyiye miongoni
mwa 217 za Zanzibar:
Wawakilishi wa CUF = 33
Wabunge wa CUF ZNZ = 25
Wabunge wa Chadema ZNZ = 4
Wana UKAWA walotoka ZNZ
miongoni mwa 67 = 5
Walopiga wazi HAPANA leo = 8
Jumla = 75
Kuinyima two thirds ya Zanzibar
ilitakiwa anything above 72.
Hapa pana 75
Sasa tuchukulie hesabu alotoa
Sitta (kwa nilivyoambiwa)
kwamba Wazanzibari ni 210 kwa
hivyo two thirds ni 140.
Inaaminika kafanya hivi ili
kupata urahisi wa 140 badala ya
145. Lakini kwa hesabu hiyo hiyo
kasahau kwamba kama
Wazanzibari ni 210 basi anything
above 70 ni kukosa two thirds.
Sasa kama tayari tuna 75 maana
yake two thirds ndo haipo
kabisa.
 
Jumla ya Wabunge wote wa
Bunge la Katiba = 629
Tanganyika = 412
Zanzibar = 217
2/3 ya 217 = 145
1/3 ya 217 = 72
Kuinyima Rasimu ya Vijisenti 2/3
ya Zanzibar zilitakiwa zaidi ya
kura 72 (kwa maana zikipatikana
73 hapana 2/3 ya Zanzibar)
Sasa hesabuni nyiye miongoni
mwa 217 za Zanzibar:
Wawakilishi wa CUF = 33
Wabunge wa CUF ZNZ = 25
Wabunge wa Chadema ZNZ = 4
Wana UKAWA walotoka ZNZ
miongoni mwa 67 = 5
Walopiga wazi HAPANA leo = 8
Jumla = 75
Kuinyima two thirds ya Zanzibar
ilitakiwa anything above 72.
Hapa pana 75
Sasa tuchukulie hesabu alotoa
Sitta (kwa nilivyoambiwa)
kwamba Wazanzibari ni 210 kwa
hivyo two thirds ni 140.
Inaaminika kafanya hivi ili
kupata urahisi wa 140 badala ya
145. Lakini kwa hesabu hiyo hiyo
kasahau kwamba kama
Wazanzibari ni 210 basi anything
above 70 ni kukosa two thirds.
Sasa kama tayari tuna 75 maana
yake two thirds ndo haipo
kabisa.

Sasa Leo bunge linaendelea la nini wakati inajulikana kabisa imeshashindikana tayari
 
Lsit ya ukawa inaendelea:

28. Peter Msigwa

29. Mh. Sugu
 
List ya ukawa inaendelea:

30. Peter Msigwa

31. David Silinde

32. Mama Komu

33. Rachel Mashishanga

34. Mch. Natse
 
List ya ukawa

35. Mch. Christopher Mtikila
 
Back
Top Bottom