Matokeo ya Kuwa na League mbovu

msolopaganzi1954

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2018
Posts
763
Reaction score
379
Tusitegemee Team zetu za Taifa za Level zote ziwe Bora wakati Hatuna league ambayo Iko Fair.
Hapo hapo Idadi kubwa ya Wachezaji wanatoka Domestic League.
......Bila mkakati mazubuti Tutafungwa hata na Somalia na Djibouti.
..Soka Alitaki ubabaishaji, it's all About Fact
 
Kaka Maandalizi yanatakiwa kuanza from GrassRoot.
Pia tuwe na League ya open, mwenye uwezo awe bingwa
 
Madhubuti katika Administration, especially TFF, waache ubabaishaji, Tutafika Tu
 
"Mwenye uwezo awe bingwa" nataka unipe mfano hai wa hayo maneno nani aliwahi kuwa na uwezo wa ubingwa akakosa?

Ubingwa ni points sio uwezo.
Njia za kupata hizo points ungezijuha usingebisha. Uwezo mdogo magumashi kibao, Unakumbuka sakata LA Ulimboka mwakingwe na KADO?
WAKATI kado Yuko mtibwa?
 
kwa huu uandishi wacha tuwe na ligi mbovu!
 
Asante mkuu
 
Okwi, Chirwa, Wawa, wamechemsha kwenye ligi za maana, hapa kwetu ni mastaa wa kuogopwa!! Halafu mnadai Tz kuna ligi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…