Mabibi na Mabwana,
Ni furaha kuu kwangu kutoa matokeo ya Mashindano ya Kimataifa ya Bao yaliyofanyika tarehe 21-22 novemba, Torino, Italia.
Tumeendesha mashindano ya vilabu, ambavyo kila kimoja kinasajili wachezaji watatu, na mashindano ya mchezaji mmoja mmoja
Matokeo ya mashindano ya mchezaji mmoja mmoja:
1 Laurien Holtjer (Uholanzi)
2 Luca Borgesa (Italia)
3 Koen Moons (Uholanzi)
Klabu cha Uholanzi kilishinda klabu cha Italia (6-3).
Taarifa nyingine: www.kibao.org/dalvivo.php?lng=sw
Wachezaji wanane kutoka Tanzania walijiandaa kushiriki lakini wameshindwa kupata viza.
Tunasikitika sana kwamba hata Mtanzania mmoja kutoka Italia hakuweza kushiriki!
Mwakani mashindano yataendeshwa Uholanzi, ni matumaini yangu Watanzania waweze kushiriki.
Cheza pamoja nasi: www.kibao.org
Ni furaha kuu kwangu kutoa matokeo ya Mashindano ya Kimataifa ya Bao yaliyofanyika tarehe 21-22 novemba, Torino, Italia.
Tumeendesha mashindano ya vilabu, ambavyo kila kimoja kinasajili wachezaji watatu, na mashindano ya mchezaji mmoja mmoja
Matokeo ya mashindano ya mchezaji mmoja mmoja:
1 Laurien Holtjer (Uholanzi)
2 Luca Borgesa (Italia)
3 Koen Moons (Uholanzi)
Klabu cha Uholanzi kilishinda klabu cha Italia (6-3).
Taarifa nyingine: www.kibao.org/dalvivo.php?lng=sw
Wachezaji wanane kutoka Tanzania walijiandaa kushiriki lakini wameshindwa kupata viza.
Tunasikitika sana kwamba hata Mtanzania mmoja kutoka Italia hakuweza kushiriki!
Mwakani mashindano yataendeshwa Uholanzi, ni matumaini yangu Watanzania waweze kushiriki.
Cheza pamoja nasi: www.kibao.org