Matokeo ya mwanafunzi yakiandikwa kwa mtindo huu maana yake nn?

Matokeo ya mwanafunzi yakiandikwa kwa mtindo huu maana yake nn?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
IMG-20230129-WA0015.jpg

Kwenye points na Division pameandikwa *S.
 
View attachment 2499258
Kwenye points na Division pameandikwa *S.
Inawezekana wamekutana na sintofahamu kwa hiyo wameficha ili kupata clarification, wakijiridhisha wataachia. sintofahamu inawezekana mtihani wake umekutwa na mlungula, au labda alijibu matusi akatukana msahishaji, au vinginevyo. Kwa hiyo wakijua kuna mawili, either wafute matokeo au waachie matokeo.
 
Back
Top Bottom