Matokeo ya mwanafunzi yakiandikwa kwa mtindo huu maana yake nn?

View attachment 2499258
Kwenye points na Division pameandikwa *S.
Inawezekana wamekutana na sintofahamu kwa hiyo wameficha ili kupata clarification, wakijiridhisha wataachia. sintofahamu inawezekana mtihani wake umekutwa na mlungula, au labda alijibu matusi akatukana msahishaji, au vinginevyo. Kwa hiyo wakijua kuna mawili, either wafute matokeo au waachie matokeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…