matokeo ya mwanangu ameandikiwa withdraw hii ni maana gani?, naomba ushauli

matokeo ya mwanangu ameandikiwa withdraw hii ni maana gani?, naomba ushauli

gashambala uwezo

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
485
Reaction score
67
Mwanangu alimalizia shule ya sekondali ngw'anza lakini , matokeo yake hayaonekani
tafadhari mwenye namba yake ya mtihani ni 14, ameandikiwa hivi *E ... basi

please mwenye kujua naomba anijuze.
 
Back
Top Bottom