Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Katika kikao chake cha tarehe 13, 2020, NEC ilipitia na kufanyia uamuzi rufaa za Wagombea Udiwani kupitia Wasimamizi mbalimbali wa #Uchaguzi nchi nzima
Tume imezipitia, kuzichambua na kuzifanyia uamuzi jumla ya rufaa 49 za Wagombea Udiwani kama ifuatavyo;
Imekubali Rufaa 24 na kuwarejesha Wagombea katika Orodha ya Wagombea Udiwani katika mchakato wa #Uchaguzi
NEC imezikataa rufaa 19 za Wagombea Udiwani ambao hawakuteuliwa
-
Aidha, imezikataa rufaa 6 za kupinga Wagombea Udiwani walioteuliwa
Tume imezipitia, kuzichambua na kuzifanyia uamuzi jumla ya rufaa 49 za Wagombea Udiwani kama ifuatavyo;
Imekubali Rufaa 24 na kuwarejesha Wagombea katika Orodha ya Wagombea Udiwani katika mchakato wa #Uchaguzi
NEC imezikataa rufaa 19 za Wagombea Udiwani ambao hawakuteuliwa
-
Aidha, imezikataa rufaa 6 za kupinga Wagombea Udiwani walioteuliwa