Matokeo ya semester ya kwanza mwenge hayoo

Matokeo ya semester ya kwanza mwenge hayoo

idiomer

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
53
Reaction score
18
Vijana sasa kama kawaida no discussion.... week ijayooo kuchomoaaaaa
 
sio chuo nadhani alimaanisha HESLB appeal results!!! /O\ SMH
 
unakifahamu mkuu

Nakifahamu mkuu ! kipo MOSHI, si ndio moja ya vyuo vya kugawa maGPA manake kunasiku nlienda pale MWENGE nkakuta matokeo yamebandikwa kwenye noticeboard yao duh miGPA ni 4.0,4.1,4.2,4.3,4.5,4.6 za kumwagaa
 
Nakifahamu mkuu ! kipo MOSHI, si ndio moja ya vyuo vya kugawa maGPA manake kunasiku nlienda pale MWENGE nkakuta matokeo yamebandikwa kwenye noticeboard yao duh miGPA ni 4.0,4.1,4.2,4.3,4.5,4.6 za kumwagaa

kijana ayaaaa
 
wee jamaa utakuwa una matatizo ya ubongo wewe,,, wahitim wa mwaka gan walibandikiwa hayo matokeo?
huna lolote kwan hapo MUCCOBS ndio panakufanya udharau vyuo vingine au?
 
wee jamaa utakuwa una matatizo ya ubongo wewe,,, wahitim wa mwaka gan walibandikiwa hayo matokeo?
huna lolote kwan hapo MUCCOBS ndio panakufanya udharau vyuo vingine au?

Wewee nilienda MWENGE nikayakuta matokeo yamebandikwa kwenye noticeboard
 
Huna lolote kwanza hapo ulipo ndio first year nakuuliza matokeo ya mwaka gan haujibu?
 
Back
Top Bottom