Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,785
- Thread starter
- #21
KWANI HII SHULE ILIKUWA YA NGAPI MWAKA JANA. Au ni miujiza ya mwaka huu tu??!! Na waalimu ni wale wale au wamehamia wengine labda.?? Haya ndio mambo ya kujiuliza
Mh. Nicksixyo swali lako la kimsingi limenirudisha tena nikazame kwenye tovuti ya Necta!
Nimekuta mwaka jana 2013
Kiwilaya ilishika ya 1 out of 98 .
Kimkoa ilishika ya 1 out of 705 na
Kitaifa ya 29 out of 15656 .
Cha kunishangaza kuna wanaojadili majimbo hapa badala ya shule .
Last edited by a moderator:
