Matokeo ya Simba nje ya Dar

Matokeo ya Simba nje ya Dar

Msimu uliyopita Simba hakupata ushindi kwenye mechi nane (8) za ugenini dhidi ya; Mbeya city, Mbeya Kwanza, Prisons, Mtibwa, Azam, Kagera, Geita, Biashara na Polisi. Lakini kwa Mkapa alipata matokeo mazuri zaidi kuliko Yanga.

Simba hakushinda mechi mbili tu, dhidi ya Yanga na Coastal. Ikumbukwe Yanga haikupata matokeo mazuri kwenye mechi tatu pale kwa Mkapa, dhidi ya Simba, Prisons na Mbeya city.

Kwa upande mwingine, Yanga alishinda mechi karibu zote za nje ya Mkapa stadium. Alikosa ushindi kwenye mechi mbili tu, dhidi ya Mbeya City na Biashara.

Mwaka huu rekodi zimeanza kujirudia. Yanga wameshacheza mechi tano ugenini na wameshinda zote. Simba wao wamecheza mechi tatu na wameweza kushinda mechi moja tu.

Mwenye kuweza kuchambua kwa kina sababu zinazoweza kuwa nyuma ya mwenendo huu anakaribishwa.
Simba mechi ya away waliyoshinda ni ya Ruvu shooting ambayo ililetwa Dar es SALAAM pengine kwa uzito wa bahasha. Mechi hiyo siyo sahihi kuiita ya Ugenini.
 
Shida ya Simba naiona katika ukosefu wa wachezaji bora wa kutosha. Ndani ya Simba kuna wachezaji wachache sana wenye quality, ukimtoa Chama, Inonga, Kanoute, Onyango, Kapombe, Tshabalala, Mzamiru Yassini, Sakho, Phiri, wengine wote waliobakia ni avarage players au rubbish tu.

Kibu Denis hatakiwi kwasasa hata akae bechi , Kyombo ni wa hivyo sana. Tunahitaji kusajili wachezaji wataoweza badili mchezo.

Lingine kocha, hamna kitu anabebwa tu na ubora wa baadhi ya wachezaji. Mechi ya leo kipindi cha pili Mbeya city walikuwa wanashambulia kwa kustukiza na kuizidi Simba kiungo. Nilitegemea kocha angeingiza Akpan azuie eti namuingiza Kibu D.
Hivi kwenye kiungo cha Simba, ukimtoa Mkude, umlete Akpan, unakua umefanya maboresho ?

Mimi naona ni Mzamiru na Kanoute tu wakiwa uwanjani ndio kiungo cha Simba kinakua imara.
Ukimleta Nyoni, Mkude, Akpan au Kapama achukue nafasi ya ama Mzamiru au Kanoute, kiungo kinakua na mapungufu mengi.

Hapa ndipo nakubaliana na hoja yako ya msingi kwamba depth ya kikosi cha Simba kwa maana ya ubora ni ndogo.

Na hapa ndipo napingana na hoja yako kwamba Akpan angeweza kuleta jambo lolote la maana kama angeingia kuchukua nafasi ya Mkude (average mwenzie).
 
Shida ya Simba naiona katika ukosefu wa wachezaji bora wa kutosha. Ndani ya Simba kuna wachezaji wachache sana wenye quality, ukimtoa Chama, Inonga, Kanoute, Onyango, Kapombe, Tshabalala, Mzamiru Yassini, Sakho, Phiri, wengine wote waliobakia ni avarage players au rubbish tu.

Kibu Denis hatakiwi kwasasa hata akae bechi , Kyombo ni wa hivyo sana. Tunahitaji kusajili wachezaji wataoweza badili mchezo.

Lingine kocha, hamna kitu anabebwa tu na ubora wa baadhi ya wachezaji. Mechi ya leo kipindi cha pili Mbeya city walikuwa wanashambulia kwa kustukiza na kuizidi Simba kiungo. Nilitegemea kocha angeingiza Akpan azuie eti namuingiza Kibu D.
Blo mbona umetaja timu nzimu muzeye.
 
Mgunda ni Kaboka tupu linalotembea lakini kocha hamna humo..

Fukuza.
 
Back
Top Bottom