Matokeo ya ualimu 2015 yanatoka lini?

Matokeo ya ualimu 2015 yanatoka lini?

shilangi

New Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Matokeo ya ualimu 2015 yatatoka lini? make kuna watu wanabishana pasipo kujua kuwa ni mapema mno kwa matokeo ya ualimu 2015 yatatoka lini? Maana kuna watu wanabishana pasipo kujua kuwa ni mapema mno.
 
Yatatoka mwezi huu kati ya tarehe15-20. Yatatoka pamoja na matokeo ya form six
 
Matokeo yote yanatoka kuanzia mwezi wa nane,,ualimu pamoja na wale walioapply vyuo vya afya .
 
Kwa hyo na wewe ni mwalimu mtarajiwa?wanafunzi kazi wanayo..
 
Kwa hyo na wewe ni mwalimu mtarajiwa?wanafunzi kazi wanayo..


Sio kazi tu mkuu na watajuta kumfahamu! mtu ana simu yenye net kwanini hata asiingie mtandaoni akacheki mwaka jana yalitoka lini? yaan hii nchi watu wengi wana mdudu wa kichwa cha kondoo. ngoja nitachukua form
 
Acheni pumba nyinyi, sisi wenyewe pia tumeapply tena kupitia mfumo wa pamoja CAS(nacte) na tumefanya mawasiliano na makao makuu ya nacte wakasema kuwa matokeo yote yanatoka kuanzia mwezi wa nane ,,ila hatuwezi jua ww mwenzetu umeapply kwa njia gani ndo maana upo kinyume.

Sasa kwa wale wote ambao wapo kinyume haya ngojeene matokeo yenu mwezi huu ,ila kama ww umeapply kupitia nacte jiandae mwezi wa nane,,na nawakumbusha kuwa kwa wale ambao bado hawajafanya application wawahi kwani mwisho ni 18/07..
 
Jamani mna bishana mmeelewa alichouliza aliyepost ? matokeo ya ualimu 2015?
 
Kwann yatoke pamoja kwan si kila chuo kimesahihisha kivyake au inakuaje

Vyuo vya ualimu vyote diploma na cheti huwa wanafunzi wanafanya mtihani wa necta so sio kweli kwamba kila chuo kinasahihisha mtihani kivyake. mitihani yote inasahihishwa na necta mkuu
 
Back
Top Bottom