Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Majimbo ya Iringa

Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Majimbo ya Iringa

Bado naendelea kukusanya matokeo kutoka vituo mbalimbali ila vyooooye ambavyo nimeshapita Chadema wamefunika mbaya...ccm wameachwa mbali mnoo!!

Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika pilika isiyo ya kawaida...watu wanazumguka kituo hadi kituo kushangilia ushindi wa chadema...vituo vichache ambavyo nna uhakika navyo hadi sasa stendi kuu, mkwawa, makorongoni..vingine cvijui hata majina... ambavyo vyote chadema wameoongoza kwa kiasi kikubwa mnooo!! mji mzima hivi sasa ni kelele za ushindi tu!!
Mkuu jitahidi tuapatie takwimu kamili pamoja na pilika zilizopo. By the way naamini ushindi upo tunachotaka kujua ni kwa kiwango gani. Big up Mkuu kwa taarifa za faraja kwa wapenda mabadiliko.
 
Kuwa msanii wa Hip hop isiwe kigezo cha kumzuia mtu kugombea endapo akiwa na sifa. mbona mambo ya kizamani sana haya
:nono:
 
kwani magembe kafanya nini cha maana zaidi ya kuchakachua elinu yetu?sugu nenda bungeni katutetee sio kutetea ccm
na nafisadi wao
 
Bado naendelea kukusanya matokeo kutoka vituo mbalimbali ila vyooooye ambavyo nimeshapita Chadema wamefunika mbaya...ccm wameachwa mbali mnoo!!

Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika pilika isiyo ya kawaida...watu wanazumguka kituo hadi kituo kushangilia ushindi wa chadema...vituo vichache ambavyo nna uhakika navyo hadi sasa stendi kuu, mkwawa, makorongoni..vingine cvijui hata majina... ambavyo vyote chadema wameoongoza kwa kiasi kikubwa mnooo!! mji mzima hivi sasa ni kelele za ushindi tu!!

So far so good...Mungu Ibariki Tz...!
 
Aaaaaaaaaaaaaaaaaah HOME TOWN Make me proud!............Nalia kwa furaha.....................I wish ningekuwa Iringa saa hizi!
 
Hivi kweli sugu anafaa kwenda bungeni au ushabiki tu


Kama wameingia watu bungeni wamefuga ufisadi hadi nchi inagwanyika mapande ya udini na ukabila...

Bora sugu akarap..what is different sir?

Unamuonaje sugu wewe..Hawezi kemea EPA? Meremeta...Jiandaeee!!!
 
Back
Top Bottom