Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 481
Hivi kweli sugu anafaa kwenda bungeni au ushabiki tu
Tuko wengi mkuuNitalala leo kweli?
Mkuu jitahidi tuapatie takwimu kamili pamoja na pilika zilizopo. By the way naamini ushindi upo tunachotaka kujua ni kwa kiwango gani. Big up Mkuu kwa taarifa za faraja kwa wapenda mabadiliko.Bado naendelea kukusanya matokeo kutoka vituo mbalimbali ila vyooooye ambavyo nimeshapita Chadema wamefunika mbaya...ccm wameachwa mbali mnoo!!
Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika pilika isiyo ya kawaida...watu wanazumguka kituo hadi kituo kushangilia ushindi wa chadema...vituo vichache ambavyo nna uhakika navyo hadi sasa stendi kuu, mkwawa, makorongoni..vingine cvijui hata majina... ambavyo vyote chadema wameoongoza kwa kiasi kikubwa mnooo!! mji mzima hivi sasa ni kelele za ushindi tu!!
Hivi kweli sugu anafaa kwenda bungeni au ushabiki tu
Kwani mbonaMajimAREFU hUKUULIZA ANAENDA BUNGENI KUFANYA NII?
Kama mji unarindima watawezaje ndio imetoka hiyo. Maggid tupe news?
Bado naendelea kukusanya matokeo kutoka vituo mbalimbali ila vyooooye ambavyo nimeshapita Chadema wamefunika mbaya...ccm wameachwa mbali mnoo!!
Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika pilika isiyo ya kawaida...watu wanazumguka kituo hadi kituo kushangilia ushindi wa chadema...vituo vichache ambavyo nna uhakika navyo hadi sasa stendi kuu, mkwawa, makorongoni..vingine cvijui hata majina... ambavyo vyote chadema wameoongoza kwa kiasi kikubwa mnooo!! mji mzima hivi sasa ni kelele za ushindi tu!!
Hivi kweli sugu anafaa kwenda bungeni au ushabiki tu
Hivi kweli sugu anafaa kwenda bungeni au ushabiki tu
hivi kweli sugu anafaa kwenda bungeni au ushabiki tu