Kwa upande mwingine, wametusaidia sana kuwaelimisha wazee ili waondoe hofu ya kuchagua chama mbadala; wera weeeeeeeeeeeraaaaaaaaaaaaaaaaa.Tumefanya makosa sana kukubali students kutopiga kura. Yaani hata tungewaomba wahisani pesa ya kuwapa wanafunzi wabaki wapige kura wangekataa?
Slaa - 454, Mnyika - 473
JK - 71 , Hawa - 45
Oysterbay Primary School
Urais:
CCM 67,
CHADEMA 56,
CUF 09
wengine 0
udiwani:
CCM 71,
CHADEMA 57,
CUF 13,sau 0,
NCCR 4
yaani, natamani tungekuwa pamoja wana-jf kwani nachoka kufurahi mwenyewe...
Habari za kusikitisha huenda Ilalla CCM wakachukua Zungu anaongoza kwa kura nyingi!