Kinyume chake ni manja,wajanja waliwahi.mapingamizi wapite bila kupingwaMm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Mkuu hivi PHD unaenda kuchukua lini una akili sanaMm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Kwa kipi? ndoto huzaa matokeo? kazi kweli kweli.
Tumechoka kwelikweli!!!! Miaka mitano tunanyanyasika!!! Ndugu wakituomba hela tunawakatia cm!!! Xo tiredMm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Mm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuchagua ccmAwamu hii inaweza kuwashangaza watu wengi,
Mnaweza mkaona watu wanafurika kwenye mikutano ya CCM, ila hakika mtashangaa na kubaki midomo wazi pale kula zitakapo anza kuhesabiwa, na matokeo kutoka
Zaidi ya kuteka watu , kuumiza Lissu , kuminya demokrasia kwa miaka mitano na watu wengine kuokotwa wakiwa maiti akiwemo ofisa wa wizara ya fedha marehemu Lwajabe , ni mambo gani ya tofauti ambayo wengine hawakufanya ambayo amefanya Magufuli ?Mm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Thubutu yenu. Magu hapati zaidi ya asilimia 30 mwaka huuEndele Kujitekenyaaa Halafu ucheke Mwenyewe 86% Atashinda Magu Zingine wagawie Wenye Vyama vya mashabiki na sio wanachama
Nilichosema Sina shaka nacho, iwapo wapinzani watasimama kuhakikisha mgombea halali anatangazwa kwa nafasi yoyote, kuanzia urais, ubunge ama udiwani, machafuko hadi mauaji ni lazima yatokee.
Mnalazimika kutumia kila mbinu chafu kushinda la sivyo ...Mm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Ushindwe kwa itabidi huu.Nasema hivi, iwapo wapinzani watasimama kidete mshindi halali atangazwe, tutashuhudia machafuko na ikibidi vifo juu.
Mdogo mdogo wanaanza kuelewa.Pale wapiga propaganda wa awamu hii mnapoogopa wapiga kura! Yaani hadi tarehe 27 October mtakuwa mmeshaita maji mma.