Jamani wadau naomba msaada wenu kwa anayejua:
sekretariati ya utumishi wa umma waliendesha usaili mnamo mwishoni mwa mwezi May 2013 MPAKA trh 5 June 2013,
lakini nimeshangaa sana katika majina ya waliofuzu usaili huo ambayo yalitangazwa trh 18 June 2013 baadhi ya kada hawakuonesha waliofuzu na kuitwa kazini ikiwemo kada CHEMICAL LABORATORY TECHNOLOGIST II!!!!!!!!
anayejua anisaidie ni kwa nini?????
sekretariati ya utumishi wa umma waliendesha usaili mnamo mwishoni mwa mwezi May 2013 MPAKA trh 5 June 2013,
lakini nimeshangaa sana katika majina ya waliofuzu usaili huo ambayo yalitangazwa trh 18 June 2013 baadhi ya kada hawakuonesha waliofuzu na kuitwa kazini ikiwemo kada CHEMICAL LABORATORY TECHNOLOGIST II!!!!!!!!
anayejua anisaidie ni kwa nini?????