Naweza yaona majina ya hao mia saba walioitwaBora hao wameenda 900 kwenye Kiswahili ilikua 23000 na walioitwa 700
Wa kwakoHao waliopata 8 walitaka wakafundishe watoto wa nani?
NeverWa kwako
mkuu unaweza fafanua kidogo kuhusu hiliHapo ni kutafuta nauli mkatafute kazi za Ualimu Namibia au SA naona Botswana wameweka sheria ya kutokuajiri Walimu na madereva wa Truck kutoka Nje ya mipaka yao wanataka raia tu ndio wafanye hizo kazi..
Hizo nchi zinahitaji Walimu hasa wa Chekechea hawa na malipo yao ni mazuri kutegemea kutaka kuajiriwa sehemu ambayo hakuna ajira na huku una ujuzi ni kupoteza muda ni kutafuta fursa nje ya mipaka hakuna kinachoshindikana huko Wenzetu Wakenya na Waganda wanafungua hadi shule zao huko sisi tunashindwa nini..mkuu unaweza fafanua kidogo kuhusu hili