matokeo ya utafiti kati ya waliooana na wasiooana

matokeo ya utafiti kati ya waliooana na wasiooana

Plato

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
420
Reaction score
94
nimemaliza utafiti baada ya miaka 2 ya uchunguzi.nimegundua kuwa kuwa:kabla ya ndoa wapenzi hufanya mapenzi kwa kujituma wote wawili,hubuni na kufanya style mbalix2.lakini kwenye ndoa asilimia 98 ni kifo cha mende,na kwa wanawake ni kulala kutimiza wajibu tu.ila hali ni tofauti kwa wote wanapotoka nje ya ndoa.mwanaume atasema umenipa vitu ambavyo mke wangu hanipi.mwanamke naye atasema leo nimefurahia mapenzi baada ya muda mrefu.kwa nini hili liko hivi?
 
Mmmmmh, kama ni kweli subiri waje wazoefu watuambie.
Lakini nina mashaka na huo utafiti wako.
Hata hivo siwezi kusema sana kwa sababu na mimi sijafanya utafiti.
So I have no right to speek.
 
mmmhhhhhhh wenye ndoa tafadhali tunaomba mtujuze.....tungependa kufahami kabla ya kuingia.....:coffee:
 
Mmmmhhhh sina data lakini nina shaka na huu utafiti... isijekuwa ni wa redet mkuu!!!!:msela:
 
The same applied to kwenye kuomba kazi..mbwembwe nyingiii ila ukishapata kazi uzembeuzembe
 
utafati ulifanya kwa kula chabo au vipi????????:twitch:
 
Michelle ni PM nikwambie kitu mana naogopa hapa poti wangu mwita maranya atanimind
 
Mmmmm huu utafiti wako sampuli ulizichukuaje? mbona hauna hata numba wakati jambo unalozungumzia lina husu watu. Kwa jinsi ulivyo eleze inaelekea huu utafiti utakuwa chini ya REDET!!!!!!!
 
Mimi utafiti wangu uligonga mwamba nahisi sikutumia material nzuri ovyoooooooo bora hata kwa .......
 
nimemaliza utafiti baada ya miaka 2 ya uchunguzi.nimegundua kuwa kuwa:kabla ya ndoa wapenzi hufanya mapenzi kwa kujituma wote wawili,hubuni na kufanya style mbalix2.lakini kwenye ndoa asilimia 98 ni kifo cha mende,na kwa wanawake ni kulala kutimiza wajibu tu.ila hali ni tofauti kwa wote wanapotoka nje ya ndoa.mwanaume atasema umenipa vitu ambavyo mke wangu hanipi.mwanamke naye atasema leo nimefurahia mapenzi baada ya muda mrefu.kwa nini hili liko hivi?

nitakuwa na jibu after 5 years.
 
Ungenihoji na mimi kabla ya kuchapisha utafiti wako ungepata jibu tofuti na ulilonalo sasa na ungeitukuza ndoa
 
1. No love among couples (ukimaliza funika).
2. Mazoea kupita kiasi (nje anaogopa kutukanwa lazima aseme kitu bomba hata kama si kweli).
 
Mhhh no comment ningekuwepo ndio ningeweza kutoa mawazo.....
 
Hahahaha,mnafurahishi,anyway michelle karibu kwenye himaya ya ELUNGATA baby.
 
Jamani hiyo nafikiri ni Hypothesis bado. watafitii ingieni field mlete results.
 
ngoja nimfanyie utafiti huyu mtafiti kama ana ndoa au hana, ni female au male, ana nyumba ndogo, kubwa au nyumba saiz ya kati, na hii thread aliituma akiwa kwao, kwake au kwa mwenza wake n.k.
 
Back
Top Bottom