Likasu
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 855
- 438
Mmmmhhhh sina data lakini nina shaka na huu utafiti... isijekuwa ni wa redet mkuu!!!!:msela:
umeona eeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmhhhh sina data lakini nina shaka na huu utafiti... isijekuwa ni wa redet mkuu!!!!:msela:
mmmhhhhhhh wenye ndoa tafadhali tunaomba mtujuze.....tungependa kufahami kabla ya kuingia.....:coffee:
Ha ha ha unanikumbusha porojo za Dr wangu wa Research techniques Chuoni ansema ukataka kujua watu wanafanya nini usiku wa kwanza wa ndoa unaenda kuchungulia dirishani, ha ha ha. Hata hivyo utafiti unaweza kuwa reality kwa kiasi fulani. Japo kwa upande wangu nadhani I am more free na kufaidi zaid baada ya ndoa kuliko kabla ya hapo kwa sababu you have enough time and space na utulivu wa akili na moyo kuliko kukimbizana guest au poriniutafati ulifanya kwa kula chabo au vipi????????:twitch:
utafati ulifanya kwa kula chabo au vipi????????:twitch: