Matokeo ya Utafiti: Kikwete, Freeman Mbowe, Zitto, Killango, Jerry Silaa na Dr Slaa


Waberoya nikisema that is stupid advice utakasirika ngoja nibadili Chadema haitafanya utafiti na ku cook data zake eti ionekane inafaya vizuri na ku cheat wananchi hayo ni mawazo finyu na mfu yanayotumiwa na CCM, that has no room in Chadema it is simple and clear hili jibu nilitayalisha kujibu post ya Kubwajinga hapo juu kama au ni wewe yule yule unaweza kumfikishia ujumbe
 

Akitoka Mzee Sita na kundi linalopinga ufisadi CCM unafikiri mambo yanaweza kuchangamka kama 1995,mimi nafikiri inaweza kuwa zaidi ya 1995.Lakini mafisadi walivyojipanga watahakikisha kuwa haondiki mtu ndani ya CCM ili wafe nayo wote.

CCM haifai hata kwa udi na uvumba ni suala la muda tuu huu usanii wote wa kura za maoni zinazofanyika kitoto kitoto zitazaa matunda ambayo hata hao mafisadi hawataamini macho yao.Tanzania ya sasa sio kama ya mwaka 1995,wasubiri waone.
 
Propaganda tu zimeanza yote kutaka kuwapotezea wadanganyika timing tu hamna mpya hapa
 
Ni propaganga hizo. Synovate nao wataka kuganga njaa ati.

Lakini swali moja: Matokeo hayo yana impact? Yes! They do have. Yaani huo ni uongo, lakini unaoaminiwa na wapiga kura. Walau huko nilikokuwa leo (nje ya Dar), kuna watu na heshima zao, wanaamini.
 
Luteni,
Watu kama wewe ndio mnaokiongezea CHADEMA usingizi kwa sababu badala ya kukishauri mambo ya kufanya mmejikalia tu tayari kuitikia hewala na kupiga makofi bila ya kutumia bongo zenu.

Ushauri umetolewa kuwa CHADEMA wafanye utafiti wao wenyewe na waache kupiga mayowe wengine wanapotoa statistics tofauti na wanavyotaka wao iwe.

Kwenye siasa watu wanakuwa na internal polls kwa ajili ya wao wenyewe kujua nini wafanye na mahali gani, na nyingine wanayoitoa kwenye public kwa ajili ya kuvutia watu upande wao. Sasa kama wewe hujui sababu za kufanya hizi pollings, basi acha kupiga kelele ujaribu kudadisi.

Lakini zaidi ya yote nakushauri uachane na tabia ya kushabikia tu CHADEMA kama vile huna akili ya kudadisi. Viongozi wa CHADEMA sio angels kwa hiyo they are prone to blunders, just like any other being. Fungua macho ili ukisaidie chama chako na nchi yako, vyama sio kama Simba vs Yanga. It is about the country.
 
Utafiti huu uko biased, ukienda kanisani kufanya utafiti ili kupata idadi ya wakristu unategemea jibu gani? - wakristu 100%, ukienda msikitini kupata idadi ya waislamu jibu ni nini? - waislamu 100% !!! Na utafiti wa "sinoveiti" ndo hivyo
 
Kama ndio hivyo basi hakuna haja ya kuwa na uchaguzi katika Tanzania, ila ni kupoteza fedha za umma, maana mshindi amejulikana tayari
 

Ni kweli kabisa hawa jamaa wameshaanza kuchemsha.Duu.
 
Tumeyaona mwaka 2005 na sasa tutaona na tena leo asubuhi alikuwa anasema baada ya mwezi wa nne watafanya utafiti sasa hawa jamaa wanapata wapi pesa
 
Mmeanza na mambo yenu ya uzushi kura upige we na mkeo hafu utwambie k'wete anaongoza? Labda kama kura wamepiga wachalize vinginevyo yuko chini kama kura zitakuwa genuine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…